Year: 2022

Tanzania

Tumieni mitandao kwa manufaa – Mihayo

  WANAFUNZI wa Vyuo Vikuu nchini wametakiwa kutumia mitandao ya kijamii  kuwasaidia katika  masomo yao. Hayo yamesemwa leo na meneja…

Soma Zaidi »
Sayansi & Teknolojia

TCRA yafungia namba za simu 52,000, zipo za matapeli

MAMLAKA ya Mawasiliano nchini (TCRA) imetangaza kuzifungia jumla ya namba tambulishi 52,087, zikiwemo zile zinazohusishwa na wizi, utapeli na ulaghai…

Soma Zaidi »
Afya

Ruvuma kupimwa afya bure

BALOZI wa China nchini Tanzania Chen Mingjian kwa kushirikiana na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas wamezindua utoaji…

Soma Zaidi »
Afya

Waziri Ummy: Uzee na kuzeeka havikwepeki

WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amewataka wabunge kupitisha Muswada wa Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote Ijumaa, wazee bila…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Yanga yalimwa faini ya Shilingi milioni 5

  KLABU ya Yanga imepigwa faini ya shilingi milioni 5 kwa kosa la kuingia chumba cha kubadilishia nguo kupitia mlango…

Soma Zaidi »
Tanzania

Watengenezaji wa Precision Air kutua

  MSEMAJI wa Serikali, Gerson Msigwa amesema timu ya wataalamu kutoka kampuni ya ATR-42 ambayo ndiyo watengenezaji wa ndege hiyo,…

Soma Zaidi »
Bunge

HEET, ‘Samia Scholarship’ kuongeza udahili elimu ya juu

Maboresho ya miundombinu yanayoendelea katika vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu chini ya mradi wa mapinduzi ya Mradi…

Soma Zaidi »
Bunge

Naibu Waziri: Tanzania kujitoa OGP hakuna madhara

SERIKALI imesistiza kuwa msukumo anautoa Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na uwepo wa vyombo ya kiuwakajibikaji na serikali kuridhia Mpango…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Liverpool kukutana na Real Madrid

LIVERPOOL itakuwa na kibarua kigumu kwa mara nyingine baada ya kupangwa na Real Madrid katika hatua ya 16 bora ya…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Southampton yamfukuza kocha wao Ralph Hasenhüttl

KLABU ya Southampton imemfukuza kocha wao, Ralph Hasenhüttl kutokana na mwenendo usioridhisha baada ya jana kukubali kipigo cha mabao 4…

Soma Zaidi »
Back to top button