Year: 2022

Kanda

Panya wateketeza mashamba ya mahindi, alizeti Kilombero

PANYA wameteketeza alizeti na mahindi yaliyokuwa yanakaribia kuvunwa katika mashamba yenye jumla ya hekta 90.5 Kata ya Chita, Wilaya ya…

Soma Zaidi »
Uchumi

Serikali kujenga mabwawa 14 

SERIKALI kupitia Wizara ya Kilimo inatarajia  kujenga mabwawa 14 kwa ajili ya kuwezesha kilimo cha umwagiliaji katika mwaka wa fedha…

Soma Zaidi »
Biashara

GBT| Mashine 300 za michezo ya kubahatisha zateketezwa

BODI ya Michezo ya Kubahatisha nchini (GBT) imeendesha msako na kukamata mashine za michezo ya kubahatisha 300 ambazo zilikuwa zinatumika…

Soma Zaidi »
Tanzania

Rais Samia atajwa mafanikio TANROADS

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara (TANROADS), Mhandisi Rogatus Mativila amesema Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa na mchango mkubwa katika…

Soma Zaidi »
Biashara

Waziri Mkuu Majaliwa atoa rai kwa Watanzania waishio ughaibuni

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewasihi Watanzania wanaoishi ughaibuni kuwa mabalozi wazuri kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za nchi wanazoishi…

Soma Zaidi »
Podcast

HABARI KUU: Oktoba 28, 2022

Mkusanyiko wa habari kuu zilizotufikia katika chumba cha HabariLeo Oktoba 28, 2022

Soma Zaidi »
Infographics

TMDA yagawa dawa za binadamu Magereza

MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA)Kanda ya Kusini imekabidhi msaada wa dawa tiba za binadamu zenye thamani ya shilingi…

Soma Zaidi »
Infographics

Dk. Tax amuwakilisha Rais Samia

WAZIRI  wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,  Dkt. Stergomena Tax amewalisili Maseru, Lesotho kumwakilisha Rais wa Jamhuri…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mlipuko ugonjwa wa midomo ya ng’ombe tishio kwa walaji

MWENYEKITI wa Halmashauri ya wilaya ya Geita, Charles Kazungu amewaomba maofisa mifugo kuchunguza haraka ugonjwa wa midomo na miguu ya…

Soma Zaidi »
Tanzania

SACP Kaganda aapishwa

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillius Wambura, leo Oktoba 28, 2022, amemuapisha SACP Suzan Kaganda, kuwa Kamishna wa…

Soma Zaidi »
Back to top button