Year: 2023

Mafuta

EWURA yatangaza kushuka bei ya Petroli na Dizeli

DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kushuka kwa bei ya petroli na…

Soma Zaidi »
Tanzania

TEA kuboresha miundombinu shule 26 mitaala mipya

MAMLAKA ya Elimu Tanzania (TEA), imejipanga kutoa vifaa na kuboresha miundombinu kupitia mfuko wa elimu kwa shule 26 zitakazofanyiwa majaribio…

Soma Zaidi »
Tanzania

Wahitimu kidato cha nne washauriwa kujiunga Veta

WANAFUNZI waliohitimu kidato cha nne wameshauriwa kujiunga na mafunzo ya ufundi stadi ili wapate ujuzi zaidi kipindi wanachosubiri kuendelea na…

Soma Zaidi »
Tanzania

“Jamii itambue mchango wa TMA”

KATIBU Mkuu Wizara ya Uchukuzi, Profesa, Godius Kahyarara ameitaka jamii kutambua mafanikio ya Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) kikanda…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mambo 7 kukabiliana na mabadiliko tabianchi

WATAALAM wa mabadiliko ya tabianchi na uchumi wamebainisha mambo saba yatakayosaidia kukabiliana na hali ya kushuka kwa pato la taifa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Ziara ya Rais Samia India yafungua fursa nchini

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amesema kutokana na ziara ya…

Soma Zaidi »
Infographics

Rais wa zamani Mauritania jela miaka mitano

RAIS wa zamani wa Mauritania, Mohamed Ould Abdel Aziz amehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa kosa la utakatishaji fedha…

Soma Zaidi »
Kanda

Kesi ya wanafamilia kusikilizwa upya Moshi

JAJI wa Mahakama Kuu Kanda ya Moshi,Lilian Mongella ameliagiza Baraza la Ardhi Nyumba na Makazi la mji wa Moshi kusikiliza…

Soma Zaidi »
Infographics

Vitanda changamoto wodi mama na mtoto hospitali Mkuranga

HOSPITALI ya Wilaya ya Mkuranga, mkoani Pwani, inakabiliwa na upungu mkubwa wa vitanda katika wodi ya mama na mtoto hali…

Soma Zaidi »
Tanzania

Ndalichako: serikali itaendelea kushikamana na sekta binafsi

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu. Prof, Joyce Ndalichako amesema…

Soma Zaidi »
Back to top button