Year: 2023

Michezo na Burudani

Uchunguzi kuwabaini wang’oa viti Lupaso

TANGA: NAIBU Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma ‘mwanafa’ amekemea vitendo vya uharibifu wa miundombinu ya Uwanja wa…

Soma Zaidi »
Mitindo & Urembo

Wazazi wa watoto ‘Njiti’ kuvaa mavazi maalumu

DAR ES SALAAM: WABUNIFU wa mavazi nchini wamebuni na kuonyesha mavazi 12 tofauti maalumu yatakayovaliwa na wazazi Mama au Baba…

Soma Zaidi »
Infographics

‘Kama humuoni ndugu yako toa taarifa’

MANYARA: Hanang. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang mkoani Manaya, Rose Kamili, amewataka wananchi ambao hawafahamu ndugu zao walipo…

Soma Zaidi »
Biashara

Serikali yazungumzia ushiriki wa Tanzania mkutano Dubai

DUBAI; SERIKALI ya Tanzania inashiriki Mkutano wa 28 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya…

Soma Zaidi »
Infographics

Rais Samia atoa maelekezo mafuriko Manyara

UAE; Rais Samia Suluhu Hassan ametoa salamu za pole na kutoa maelekezo kwa vyombo vinavyoshughulikia maafa yaliyotokea katika kijiji cha…

Soma Zaidi »
Jamii

Vifo mafuriko Manyara vyafikia 23, majeruhi 30

MANYARA: Hanang: MIILI ya watu 23 imepatikana hadi alasiri ya leo Desemba 3, 2023 eneo la Katesh, Wilaya ya Hanang…

Soma Zaidi »
Africa

Waliokufa kwa mafuriko wafikia 136 Kenya

IDADI ya vifo vilivyotokana na mafuriko imeongezeka hadi 136 nchini Kenya. Kulingana na Kituo cha Kitaifa cha Amri ya Dharura…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Simba SC ruksa kusajili

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Ulimwenguni (FIFA) limeondoa adhabu ya kutosajili kwa klabu ya Simba SC baada ya kukamilisha madai…

Soma Zaidi »
Siasa

Bibi Titi Mohamed: Mwanamajumui wa Afrika

WAKATO leo ni kilele cha Tamasha la Kumbukumbu ya mzalendo wa Kiafrika, mpigania Uhuru na muasisi wa Umoja wa Wanawake…

Soma Zaidi »
Jamii

Shule ya Mazwi yapongezwa kuelimisha jamii

SHULE ya Sekondari Mazwi iliyopo mkoani Rukwa, imepongezwa kwa kuandika insha mbalimbali zinazoelimisha jamii kuhusu athari za dawa za kulevya,…

Soma Zaidi »
Back to top button