Year: 2023

Infographics

Ponyo ajiondoa urais, aungana na Katumbi

WAZIRI Mkuu wa zamani wa DR Congo, Augustin Matata Ponyo, amejiondoa kwenye uchaguzi wa urais utakaofanyika mwezi ujao. Ponyo amesema…

Soma Zaidi »
Africa

Mbadala wa Sonko apatikana uchaguzi Senegal

CHAMA cha kiongozi wa upinzani wa Senegal aliyefungwa jela, Ousmane Sonko kimesema kitamteua mgombea mbadala wa nafasi ya urais katika…

Soma Zaidi »
Africa

Saba wauawa majibizano ya risasa DR Congo

TAKRIBANI watu saba wameuawa katika majibizano ya risasi na waasi wa M23 huko Kivu Kaskazini, Mashariki mwa DR Congo. –…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Mkutano usalama wa chakula wafunguliwa London

WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Rishi Sunak amefungua Mkutano wa Kimataifa wa Usalama wa Chakula mjini London. – Mkutano huo ni…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Yanga yaifuata Belouizdad

DAR ES SALAAM: Msafara wa klabu ya Yanga umeondoka nchini, kuelekea Algeria kwa ajili ya mchezo wa kwanza wa hatua…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Minziro yamemkuta huko

MBEYA: Klabu ya Tanzania Prisons imemfuta kazi kocha, Fred Felix Minziro kuanzia leo Novemba 21, 2023. Taarifa iliyotolewa na timu…

Soma Zaidi »
Tanzania

Chalamila atoa maagizo wa DC ubovu wa barabara Msongola

DAR ES SALAAM: MKUU wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila ameitaka ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Ilala…

Soma Zaidi »
Tanzania

Jambazi sugu auawa akiwakimbia polisi Arusha

MTU mmoja aliyefahamika kwa jina la Ally Dangote anayedaiwa kuwa ni jambazi sugu aliyeua watu zaidi ya saba mkoani Arusha amekufa…

Soma Zaidi »
Tanzania

NIT watakiwa kutoa mafunzo kupunguza gharama za usafirishaji

CHUO cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kimeagizwa kutoa mafunzo ya mara kwa mara kwa madereva, maofisa usafirishaji ili kupunguza gharama…

Soma Zaidi »
Afya

Muhimbili yaja kivingine upatikanaji wa dawa

DAR ES SALAAM: Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), leo imesaini mkataba wa makubaliano na kiwanda cha Kairuki KPTL kwa lengo…

Soma Zaidi »
Back to top button