Year: 2024

Featured

Dk Mpango ataka uwekezaji tafiti za kisayansi, teknolojia

MAKAMU wa Rais, Dk Philip Mpango amesema ili kuinua viwango vya tafiti za vyuo nchini, vyuo vya elimu ya juu…

Soma Zaidi »
Tanzania

Serikali yatoa Sh bil 3.3 kukwamua urasimishaji Dar

ILALA, Dar es Salaam: WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Deogratius Ndejembi amemuagiza Katibu Mkuu wa wizara hiyo,…

Soma Zaidi »
Featured

Fountain Gate 3-2 Coastal Union

WANABABATI klabu ya Fountain Gate leo imeutumia vema uwanja wake wa nyumbani baada ya kuichapa Coastal Union kwa mabao 3-2…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Guterres aitisha msaada wa kimataifa

MAREKANI : KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameziomba nchi tajiri kutimiza ahadi zao ya kuzisaidia nchi masikini…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Afghanistan yapiga marufuku matabibu wanawake

MAREKANI  : UMOJA wa Mataifa umeonya  kuwa uamuzi wa Taliban wa kuwazuia wanawake kusomea utabibu kutaharibu hali zaidi  Afghansitan inayokabiliwa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Wananchi Mabilioni walia ukosefu maji safi

WANANCHI wa kijiji cha Chekereli Kata ya Mabilioni wilayani Same, mkoani Kilimanjaro wamekuwa wakikabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa maji…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Somalia Ethiopia kumaliza mivutano

MAREKANI : SERIKALI ya Marekani imepongeza hatua ya makubaliano yaliyofikiwa na Somalia na Ethiopia ya kumaliza mivutano ya kikanda, iliyochochewa…

Soma Zaidi »
Featured

Bashungwa akabidhiwa ofisi na Masauni, Wizara Mambo ya Ndani

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amekabidhiwa ofisi na aliyekuwa Waziri wa wizara hiyo, Mhandisi Hamad Masauni…

Soma Zaidi »
Tanzania

17 wanaswa uhalifu, ulawiti Mtwara

WATU 17 wametiwa nguvuni na Jeshi la PolisiMkoa wa Mtwara kwa tuhuma za kujihusisha na makosa mbalimbali mkoani humo. Akizungumza…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Tshisekedi Kagame kukutana Angola

ANGOLA : RAIS wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Felix Tshisekedi na mwenzake wa Rwanda Paul Kagame wanatarajiwa kukutana Jumapili…

Soma Zaidi »
Back to top button