Year: 2026

Infographics

Faru weupe kuongeza chachu ya uhifadhi nchini

ARUSHA: SERIKALI itaendelea kuongeza nguvu katika uhifadhi wa wanyamapori aina ya faru ambao wapo haratini kutoweka kwa kuimarisha Mradi wa…

Soma Zaidi »
Infographics

Sakata la ekari sita Arusha lachukua sura mpya

ARUSHA: SAKATA la mfanyabiashara wa nafaka mkoani Arusha, Phillemon Mollel maarufu ‘Monaban’ juu ya uhalali wa umiliki wa eneo la…

Soma Zaidi »
Madini

Serikali yaanza mpango kuondoa uchimbaji wa kubahatisha

DAR ES SALAAM: Serikali imeanza safari ya kuondoa uchimbaji wa kubahatisha nchini baada ya kuweka mfumo utakaowezesha asilimia 10 ya…

Soma Zaidi »
Afya

Katavi wanufaika huduma za afya za kibingwa bure

KATAVI; Wananchi wa Mkoa wa Katavi wamepongeza hatua ya Taasisi isiyo ya Kiserikali ya Empower Society Build the Nation (ESBN)…

Soma Zaidi »
Afya

Mkakati maalumu kuwanasa wauguzi jeuri

GEITA: SERIKALI mkoani Geita imetangaza mpango rasmi wa kupokea taarifa za wauguzi na watumishi wa afya wanaofanya vitendo visivyo vya…

Soma Zaidi »
Siasa

CCM yawaonya wanaohamasisha uvunjifu wa amani

DODOMA: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitaendelea kuunga mkono juhudi za Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, za kuharakisha maendeleo ya…

Soma Zaidi »
Featured

CCM: Kuna wanasiasa wanahamasisha vurugu

DODOMA: Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, amewataka Watanzania kuendelea kulinda amani,…

Soma Zaidi »
Featured

Yanga wakitaka lao usilete mdomo!

KIGOMA;YANGA wakitaka lao usilete mdomo! Pengine ndivyo unavyoweza kuzungumzia matokeo ya mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara kati ya Mashujaa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Ukataji miti watishia kutoweka dawa za asili

DODOMA: Wataalamu wa tiba asili hapa nchini wameiomba serikali kuendelea kuchukua hatua za makusudi za kuhamasisha utunzaji wa mazingira ili…

Soma Zaidi »
Tanzania

Majaribio yamefanikiwa, usalama wakutosha!

MUSOMA: MAMLAKA ya Viwanja vya Ndege (TAA) imefanya majaribio ya kutua na kuruka katika Viwanja vya Ndege vya Musoma na…

Soma Zaidi »
Back to top button