MOROGORO: Yanga imeendelea kujichimbia kileleni mwa Ligi kuu Tanzania bara baada ya kuitandika KMC 3-0 kwenye mchezo uliomalizika muda mchache…
Soma Zaidi »Antipas Kavishe
SIMIYU: Mkuu wa Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, Simon Simalenga amesema, wilaya hiyo inalo Jimbo moja la Bariadi, ambalo ameeleza…
Soma Zaidi »DAR ES SALAAM: MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema hajaridhishwa na kasi ya mkandarasi anayejenga uwanja…
Soma Zaidi »DODOMA: Waziri wa Ardhi Nyumba, na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amemwagiza Katibu Mkuu wizara hiyo kuunda timu ya wataalam…
Soma Zaidi »LINDI: Mwaka 2024 umeanza kwa rekodi ya ufanisi wa hali ya juu katika kupokea watalii wanaotumia Bandari ya Kilwa ambapo…
Soma Zaidi »SINGIDA: Mkuu wa Wilaya ya Mkalama, Moses Machali amewataka wazazi wilayani Mkalama kuhakikisha wanapeleka watoto wao katika vituo vya afya…
Soma Zaidi »MTWARA: SERIKALI imewasilisha mtambo wa megawati 20 mkoani Mtwara utakaozalisha umeme kwa kutumia gesi asilia. Mtambo huo ni utekelezaji wa…
Soma Zaidi »DAR ES SALAAM: Rais Samia Suluhu Hassan amesema timu ya wataalam imeshaelekezwa kuchukua hatua zitakazowezesha kuanza kwa safari za moja…
Soma Zaidi »DAR ES SALAAM: Serikali kupitia wizara ya maendeleo ya jamii imewataka wazazi kuhakikisha wanasimamia maadili ya watoto ikiwemo kudhibiti watoto…
Soma Zaidi »MANYARA: Shirika lisilo la kiserikali la LGCF linalojihusisha na masuala ya kijamii limeandaa kongamano kubwa la Wanawake na Wanaume wanaofanya…
Soma Zaidi »









