Vicky Kimaro

Siasa

CCM yadai CHADEMA imepokea ruzuku walioisusia

DAR ES SALAAM: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuweka wazi kuwa kimeshalipwa Sh bilioni…

Soma Zaidi »
Siasa

CCM yaitaka CHADEMA kuacha undumilakuwili

DAR ES SALAAM: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimewataka CHADEMA kuacha kigeugeu, na kudai kuwa hawajui wanachokitaka licha ya mswada wa…

Soma Zaidi »
Jamii

Mchengerwa: Simamieni magari kutatua kero za wananchi

DODOMA: WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Mohamed Mchengerwa amewaelekeza Wakuu wa Mikoa na Wilaya kuhakikisha wanasimamia matumizi ya magari…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Mnyama amuita Azam Kirumba

DAR ES SALAAM: KLABU ya @simbasctanzania itautumia Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza, katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara dhidi…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Simba Queens wafika kileleni

DAR ES SALAAM: TIMU ya wanawake ya SIMBA Queens imepanda hadi nafasi ya kwanza katika msimamo wa Ligi Kuu ya…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Simba Queens yapewa ushindi mechi ya JKT

DAR ES SALAAM: SHIRIKISHO la Mpira wa miguu nchini (TFF) imeipoka alama 5 JKT Queens na kuitoza faini ya Sh…

Soma Zaidi »
Amerika

Moto waua 40 Chile

CHILE: SERIKALI ya Chile imetangaza hali ya hatari huku ikiendelea kupambana na moto mkali wa uliozuka katika moja ya msitu…

Soma Zaidi »
Africa

Samia atoa pole kifo cha Rais Geingob

DODOMA: RAIS Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kwa Kaimu Rais wa Namibia Dk Nangolo Mbumba, mke wa Rais,…

Soma Zaidi »
Africa

Rais wa Namibia afariki

WINDHOEK, Namibia: RAIS wa Namibia, Hage Geingob (82) amefariki usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Lady Pohamba jijini Windhoek…

Soma Zaidi »
Zanzibar

Rais Mwinyi asaini sheria 4 ikiwemo ya Kadhi

RAIS wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi amesaini sheria mpya nne kwa mara ya kwanza ikiwemo Sheria ya Kadhi ya…

Soma Zaidi »
Back to top button