Hashim Kassim

Infographics

Zanzibar yaahidi miundombinu ya kisasa kwa wawekezaji

MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) inaendelea na dhamira…

Soma Zaidi »
Uchumi

BOT: Uchumi Tanzania kukua 7.2%

UCHUMI wa Tanzania Bara unatarajiwa kukua kwa asilimia sita katika robo ya kwanza ya mwaka 2026, huku uchumi wa Zanzibar…

Soma Zaidi »
Kanda

Nzilanyingi kushughulikia kero za mafuriko

MBUNGE wa Jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza, John Nzilanyingi, amefanya ziara katika Kata ta Mirongo kusikiliza kero za wananchi, akaelezwa…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Tume ya Jaji Chande yatua Mara

TUME ya Rais inayochunguza matukio ya uvunjifu wa amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, mwaka jana…

Soma Zaidi »
Tanzania

Watu 66 wadakwa dawa za kulevya tani 9.6

MAMLAKA ya Udhibiti wa Dawa za Kulevya (DCEA) imekamata kilogamu 9,689 za dawa za kulevya, pikipiki 11 na magari matatu.…

Soma Zaidi »
Tanzania

Vijana 1,432 wapata ajira nje ya nchi

SERIKALI imewapatia vijana wa Tanzania 109 ajira za nje ya nchi na kufanya idadi ya vijana waliopata ajira kuanzia Desemba…

Soma Zaidi »
Tanzania

Kanuni kuwabana madereva wa masafa marefu

SERIKALI kupitia Wizara ya Uchukuzi imeanza rasmi mchakato wa kuandaa Kanuni za Usimamizi wa Madhara ya Uchovu kwa Madereva za…

Soma Zaidi »
Biashara

Mwigulu: Waliopora mali za wananchi warudishe

WAZIRI Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amesema watu wote waliopora mali za wenzao ikiwemo ardhi warudishe wenyewe kabla hawajafikiwa na mkono…

Soma Zaidi »
Uchumi

Samia ataka ulinzi baharini, awagusa wavuvi

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema bahari ni eneo muhimu kwa usalama wa nchi hivyo Taasisi ya Sayansi ya Bahari ya…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Nimesota Kings Music Records miaka minne hadi natambulishwa

MSANII wa kwanza wa kike chini ya lebo ya Kings Music Records, Mutimawangu, amesema amepitia safari ndefu na yenye changamoto…

Soma Zaidi »
Back to top button