Na Mwandishi Wetu

Tanzania

Tanzania kushiriki mkutano mabadiliko tabianchi

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba ameihakikishia Serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu…

Soma Zaidi »
Afya

Waonywa matumizi dawa kuongeza nguvu za kiume

KAIMU Mkurugenzi Udhibiti wa Dawa wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Dk Yonah Mwalwisi amesema miongoni mwa madhara…

Soma Zaidi »
Sayansi & Teknolojia

Teknolojia ilivyowarahisishia wakulima shughuli zao

SAYANSI na Teknolojia imewawezesha wakulima kuondoka kwenye mfumo wa kizamani wa kunyunyizia viuatilifu kwa mabomba ya kubeba mgongoni hadi utumiaji…

Soma Zaidi »
Tanzania

“Msiweke nguvu elimu bora mkasahau maadili”

WAZAZI wengi wamekuwa wakielemewa na mzigo wa kuwalea watoto wao wakubwa na wajukuu ambao hawajapata ajira wala kujiajiri, ndio maana…

Soma Zaidi »
Sayansi & Teknolojia

TTCL kuimarisha usalama sekta ya mawasiliano

SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limesema litahakikisha linakuwa lango la usalama wa kitaifa wa kielektroniki kwa kuimarisha usalama wa sekta…

Soma Zaidi »
Afya

Wabainika kutanuka moyo baada ya uchunguzi

NUSU ya watu 335 waliopata huduma ya uchunguzi na matibabu ya moyo katika kambi maalum iliyofanyika kwa siku mbili mwishoni…

Soma Zaidi »
Tanzania

Wazazi waonywa lugha chafu kwa watoto

WAZAZI na walezi wilayani Geita mkoani hapa wametakiwa kuacha tabia ya kutumia lugha na kauli chafu pale wanapowakemea watoto wao…

Soma Zaidi »
Tanzania

Washauriwa kulima viazi vitamu

WAKULIMA nchini Tanzania wameshauriwa kulima viazi vitamu vya njano kwa kuwa vina vitamin A kwa wingi, lengo likiwa ni kuwasaidia…

Soma Zaidi »
Mafuta

Saudia, Urusi kupunguza uzalishaji mafuta

LICHA ya changamoto ya upatikanaji na kupanda kwa bei ya mafuta katika soko la dunia, Saudia Arabia na Urusi zimekubaliana…

Soma Zaidi »
Tanzania

Uingereza kutangaza Wagner kundi la kigaidi

LONDON – Uingereza inakusudia kulitangaza kundi la mamluki la Wagner la nchini Urusi kuwa shirika la kigaidi lililopigwa marufuku, ikisema…

Soma Zaidi »
Back to top button