Na Rahimu Fadhili

Tanzania

Nay aitikia wito polisi central

MSANII wa ‘Hip Hop’ Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ amefika kituo cha polisi cha kati ‘Police Central’ Dar es Salaam…

Soma Zaidi »
Afya

Wazazi watakiwa kuonesha upendo kwa watoto

WAZAZI wametakiwa kuwalea watoto tangu wakiwa tumboni ili kuwaonyesha upendo kabla hawajazaliwa. Akizungumza jana mkoani Mtwara katika uzinduzi wa programu…

Soma Zaidi »
Tanzania

Tanesco wapongezwa usimamizi bora

WAKALA wa Nishati vijijini imeipongeza Shirika la Umeme nchini (TANESCO) Mkoa wa Mwanza kwa usimamizi mzuri na utekelezaji wa miradi…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Nyakato yatangulia nusu fainali

KATA ya Nyakato imefanikiwa kuingia nusu fainali ya mashindano ya Angeline Jimbo cup baada ya kuifunga timu ya Sangabuye bao…

Soma Zaidi »
Tanzania

Wawekaji matuta barabarani waonywa Shinyanga

MENEJA ya Wakala wa Barabara (Tanraods) mkoani Shinyanga Injinia Mibara Ndirimbi amewataka  wananchi wa maeneo ya vijijini kuacha kujichukulia sheria…

Soma Zaidi »
Tanzania

Bidhaa tisa Tanzania zapata soko nje

UCHAMBUZI wa Takwimu uliofanywa na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade), umetambua bidhaa tisa za Tanzania zinahitajika katika masoko…

Soma Zaidi »
Infographics

Kauli ya Rais kuhusu kikokotoo yaibua wastaafu Iringa

SIKU moja baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuahidi kutafuta suluhu ya malalamiko ya kikokotoo, baadhi ya wastaafu wameibuka na…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mashine ya kukaushia muhogo inavyorahisha upatikanaji unga

TEKNOLOJIA ya mashine ya kukaushia muhogo shambani imewarahisishia wauzaji wa unga unaotokana na zao hilo kupata malighafi kwa urahisi na…

Soma Zaidi »
Tanzania

Utafiti ugonjwa zao la ndizi wafikia pazuri

UTAFITI wa kukabiliana na ugonjwa wa ndizi aina ya mshale unaojulikana kama mnyauko wa fuzari uko katika hatua nzuri. Mtafiti…

Soma Zaidi »
Sayansi & Teknolojia

EAC yatumia akili bandia changamoto za muhogo

TANZANIA ni miongoni mwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zilizofaidika na teknolojia ya akili bandia katika kutambua magonjwa…

Soma Zaidi »
Back to top button