MFANYABIASHARA Salim Asas kutoka mkoani Iringa leo amekubali kupewa hadhi ya umachinga katika tukio lilikowenda sambamba na kuitikia wito wa kuwa…
Soma Zaidi »Na Frank Leonard
WADAU wa elimu jijini Arusha wameunga mkono mapendekezo ya serikali katika kuboresha mitaala ya elimu. Wameeleza kuwa mabadiliko hayo yataleta mapinduzi…
Soma Zaidi »SHIRIKISHO la Soka Afrika ( CAF) limetoa ratiba ya robo fainali ya michuano ya African Football League jioni hii. Simba…
Soma Zaidi »UGONJWA wa moyo umeelezwa kushika nafasi ya tatu katika magonjwa yanayochangia vifo vingi nchini huku takwimu zikionesha kuwa siku za…
Soma Zaidi »MKUU wa Mkoa wa Tanga, Waziri Kindamba amemaliza mgogoro wa mpaka kati ya kijiji cha Gitu na Ngobore uliodumu kwa…
Soma Zaidi »MSIMU wa pili wa mbio za Krosho Marathon 2023, umekamilika leo katika viwanda vya Nangwanda Sijaona mkoani Mtwara. Mbio hizo…
Soma Zaidi »SERIKALI imetoa zaidi ya Sh bilioni 1 kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa shule mbili za sekondari na…
Soma Zaidi »BILIONEA Mohamed al-Fayed, mzaliwa wa Misri ambaye mwanawe alikufa katika ajali ya gari na Princess Diana wa Uingereza, amefariki akiwa…
Soma Zaidi »DIRISHA la usajili barani Ulaya limefungwa usiku wa kuamkia leo. Zifuatazo ni sajili zilizokamilika dakika za mwisho kabla ya kufika…
Soma Zaidi »ZAIDI ya wakulima 7000 kutoka Wilaya ya Magu mkoani Mwanza wanatarajia kunufaika na mradi wa kuboresha ardhi iliyoharibika na kuongeza…
Soma Zaidi »









