Ismaily Kawambwa na Rahimu Fadhili

Michezo na Burudani

Kibegi cha jezi Simba chawasili Kilimanjaro

KIBEGI chenye jezi mpya ya Simba SC kimewasili Marangu mkoani Kilimanjaro tayari kwa ajili ya kukipandishwa kilele cha Mlima Kilimanjaro…

Soma Zaidi »
Siasa

Msajili apokea mapendekezo ya katiba mpya, tume huru

OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa imesema imepokea mapendekezo yaliyotolewa na wadau wa vyama vya siasa nchini ukiwamo mchakato…

Soma Zaidi »
Zanzibar

Rais Samia amlilia Jecha, Dk Mwinyi aongoza maziko

RAIS wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ameongoza mamia ya waombolezaji wakiwamo viongozi wa serikali na vyama vya siasa kumzika aliyekuwa…

Soma Zaidi »
Afya

JKCI yaokoa bil 31.1/- wagonjwa kutibiwa nje

TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imedhamiria kuimarisha tiba za moyo kwa kipindi cha miaka mitano ijayo kwa kutoa…

Soma Zaidi »
Utalii

Tanapa, TTB waguswa tuzo Serengeti, Tarangire

SHIRIKA la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) wamesema tuzo walizopata hifadhi za taifa za…

Soma Zaidi »
Tanzania

Miamala ya fedha yaongezeka asilimia 24 mwaka mmoja

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema kati ya Julai mwaka jana hadi Juni mwaka huu imesajili laini za simu milioni…

Soma Zaidi »
Podcast

Jifunze Kiswahili- Sehemu ya 7

We proceed with our topic Noun 3.Nomino dhahania (Abstract) A noun denoting an idea , quality or state rather than…

Soma Zaidi »
Sayansi & Teknolojia

Mataifa 11 yajadili ubunifu kidijitali

MATAIFA 11 zimekutana Tanzania kwa ajili ya kubadilishana uzoefu wa jinsi ya kuwasaidia wabunifu wa kidijitali walioko katika nchi hizo.…

Soma Zaidi »
Siasa

Vyama vyatakiwa kusikilizana kwa hoja

KUELEKEA uchaguzi mkuu mwaka 2025 na uchaguzi wa serikali za mitaa, vyama vya siasa nchini vimetakiwa kuendelea kujadiliana na kusikilizana…

Soma Zaidi »
Mafuta

EWURA yazungumzia akiba ya mafuta

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imesema nchi ina mafuta ya kutosha katika ghala zake za…

Soma Zaidi »
Back to top button