TEHRAN, Iran

Kimataifa

Wasiovaa hijab kukamatwa Iran

MAMLAKA nchini Iran imetangaza kampeni mpya ya kuwakamata wanawake wasiovaa hijabu, huku polisi wa maadili wakielekezwa kuanza doria kutekeleza sheria…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Twitter yapoteza nusu ya mapato

IMEELEZWA ‘Twitter’ imepoteza karibu nusu ya mapato yake ya matangazo tangu iliponunuliwa na Elon Musk kwa Dola bilioni 44 (£33.…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Onana uhakika United

KIPA Andre Onana anakaribia kujiunga na Manchester United, baada ya jana usiku Inter Milan na United kufikia makubaliano ya mwisho.…

Soma Zaidi »
Diplomasia

Mkulima Ihemi amkamata Kakakuona

MKULIMA wa kijiji cha Ihemi wilayani Iringa Asajile Mwanjala juzi amemkamata mnyama aina ya Kakakuona anayeaminika kufanya utabiri wa mambo…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Arsenal yamtangaza Rice

ARSENAL imetangaza kukamilisha usajili wa kiungo Declan Rice kutoka West Ham United kwa mkataba wa muda mrefu. Rice amesaini mkataba wa…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Simba kuzindua jezi Mlima Kilimanjaro

KLABU ya Simba imesema itazindua jezi mpya za msimu wa 2023/2024 juu ya Mlima Kilimanjaro. Ofisa Mtendaji Mkuu wa Simba…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Simba Day Agosti 6

MENEJA wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally ametangaza kuwa Agosti 6, 2023 itakuwa ni siku ya tamasha…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Van der Sar apelekwa Uholanzi, abaki ICU

KIPA wa zamani wa Manchester United, Edwin Van der Sar amepelekwa nchini kwao Uholanzi akiwa bado kwenye chumba cha wagonjwa…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Rice kutangazwa Arsenal leo

#BREAKING: Klabu ya West Ham United imesaini karatasi za mauzo ya £105m kwa Declan Rice kwenda Arsenal. Mtandao wa Sky…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Joto kuitesa Marekani

TAARIFA zinaeleza takribani Wamarekani milioni 27 kutoka majimbo ya Florida, Texas, California hadi Kusini Mashariki mwa Washington DC watakumbwa na…

Soma Zaidi »
Back to top button