Sylvester Domasa

Michezo na Burudani

Yanga yanasa beki kutoka Asec

YANGA imekamilisha usajili wa beki wa kulia, Kouassi Attohoula kutoka Asec Mimosas kwa mkataba wa mwaka mmoja. Beki huyo (26)…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Mendy hana hatia kesi ya ubakaji

BEKI wa zamani wa Manchester City, Benjamin Mendy amekutwa hana hatia ya katika mashitaka mawili yaliyokuwa yakimkabili moja la ubakaji…

Soma Zaidi »
Afya

Halmashauri zatakiwa kutenga bajeti kuajiri watumishi wa afya

WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu ameziagiza halmashauri zote nchini kutenga bajeti itokanayo na mapato ya ndani kuajiri watumishi wa afya…

Soma Zaidi »
Afya

Sh bilioni 6 kusaidia watoto njiti nchini

SERIKALI imetoa Sh bilioni 6.3 kwa ajili ya kununua vifaa tiba nchi nzima. Vitaa hivyo vitasaidia watoto wachanga na waliozaliwa…

Soma Zaidi »
Diplomasia

Rais Samia mwenyeji mkutano wakuu wa nchi Afrika

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Rasilimali Watu…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Simba yamnasa Ngoma

SIMBA SC imetangaza kumsajili Kiungo, Fabrice Ngoma kutoka DR Congo kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Al Hilal ya Sudan.…

Soma Zaidi »
Tanzania

IRUWASA-Mamlaka ya kwanza huduma za maji nchini

“Ukifika Mjini Iringa na kujionea jinsi Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Iringa (IRUWASA) inavyoboresha huduma hizo kwa…

Soma Zaidi »
Africa

Kaya masikini kupokea Sh 24,000 kila mwezi Nigeria

RAIS mpya wa Nigeria Bola Tinubu ametangaza mpango wa serikali yake kutoa dola 10 (Sh 24,000) kwa mwezi kwa kaya…

Soma Zaidi »
Amerika

Waigizaji, waandishi wa filamu waungana kugoma Marekani

WAIGIZAJI mahiri wa filamu wataungana na waandishi wao huko New York na Los Angeles siku ya Ijumaa katika mgomo ambao…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Yanga yamnasa winga kutoka Congo DR

KLABU ya Yanga imethibitisha kukamilisha usajili kiungo mshambuliaji Maxi Mpia Nzengeli kutoka AS Maniema. Nyota huyo raia wa Congo DR…

Soma Zaidi »
Back to top button