Afya

Watu 20 kufanyiwa upasuaji wiki moja

TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete(JKCI) itafanya upasuaji kwa watu wazima 20 wenye tatizo la mishipa ya moyo kuziba mishipa…

Soma Zaidi »

Mloganzila wafanya upasuaji wa makengeza, vifuniko vya macho

DAR ES SALAAM: Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila kwa kushirikiana na Madaktari Bingwa wabobezi kutoka nchini Sudan imefanya upasuaji rekebishi kwa…

Soma Zaidi »

Aliyeshindwa kula miaka sita afanyiwa upasuaji

DAR ES SALAAM: Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) imefanya upasuaji wa koo kwa njia ya matundu madogo kwa mtoto…

Soma Zaidi »

UMMY :Mikoa miwili bado ina kipindupindu

DAR ES SALAAM: WAZIRI  wa Afya,Ummy Mwalimu  ametoa tahadhari ya wananchi kuepuka kutiririsha maji taka kuelekea msimu wa mvua za…

Soma Zaidi »

Halmashauri 112 hazina maambukizi, matende mabusha

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya imesitisha kampeni ya umezeshaji wa kingatiba za ugonjwa wa mabusha na matende katika Halmashauri ya…

Soma Zaidi »

Watu milioni 3 wanusurika kupata mabusha Dar

DAR ES SALAAM: WATU milioni 3.7 wakazi wa jiji la Dar es Salaam wamenusurika kupata maambukizi ya vimelea vya ugonjwa…

Soma Zaidi »

Serikali, wadau kushirikiana huduma bora za afya

DAR ES SALAAM: Serikali kupitia Wizara ya Afya  itaendelea  kushirikiana na wadau wa maendeleo ili kuhakikisha kuwa huduma bora za…

Soma Zaidi »

Waiomba serikali kuwajengea kituo huduma ya afya

WAKAZI wa kijiji cha Majengo kata ya Namtumbuka Halmashauri ya Mji wa Nanyamba mkoani Mtwara wameiomba serikali kuwajengea kituo cha…

Soma Zaidi »

Marufuku kula msibani

SIMIYU; Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Dk Yahaya Nawanda, amepiga marufuku watu kula kwenye misiba, kutokana na kuibuka tena kwa…

Soma Zaidi »

Mtoto atolewa pini kwenye mapafu

DARES SALAAM: Hospitali ya Taifa ya Muhimbili imemtoa pini kwenye mapafu ya  mtoto mwenye umri wa miaka mitano. Mtoto uyo…

Soma Zaidi »
Back to top button