Afya

Tanzania, taasisi Uswis kushirikiana kutokomeza magojwa

GENEVA: Serikali ya Tanzania na Taasisi ya Global Fund zitaendelea kushirikiana katika vipaumbele vya Serikali vinavyolenga kutokomeza magonjwa ya Ukimwi,…

Soma Zaidi »

Samia: Uzazi isiwe huzuni kwa familia

DAR ES SALAAM: RAIS Samia Suluhu Hassan amesema familia zinastahili kufurahi anapozaliwa mtoto badala ya kuhuzunika. Ameeleza hayo kupitia ukurasa…

Soma Zaidi »

Maabara ya JKCI yatangazwa ubora duniani

DAR ESSALAAM: MAABARA ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete(JKCI) imepata ithibati ya kimataifa (ISO 15189:2012) ya kutambuka kama maabara…

Soma Zaidi »

Dk Mollel ataka kampeni kusambaza taulo za kike mashuleni

ARUSHA: NAIBU Waziri wa Afya, Dk Godwin Mollel amewataka wadau wa afya zikiwemo taasisi za Umma, Asasi na Mashirika yasiyo…

Soma Zaidi »

Ummy ataja njia kudhibiti magonjwa yasiyoambukiza

GENEVA, Uswisi: ULAJI wa vyakula kwa kupunguza matumizi ya chumvi, sukari na mafuta husaidia kupunguza magonjwa yasiyoambukiza. Waziri wa Afya,…

Soma Zaidi »

Kampeni ya Holela-Holela itakukosti yazinduliwa

DAR ES SALAAM: KAMPENI ya Holela holela itakukosti imezinduliwa jijini Dar es Salaam wiki hii. Uzinduzi huo umefanywa na Ofisi…

Soma Zaidi »

TNMC yawasimamisha tisa kutoa huduma

Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) limewasimamisha wauguzi na wakunga tisa na kutoa onyo kwa wengine nane baada ya…

Soma Zaidi »

Ummy: Acheni matumizi holela ya dawa

TANGA: Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameitaka jamii kuacha matumizi holela ya dawa za antibiotik ili kuepuka usugu wa vimelea…

Soma Zaidi »

Jenereta yashindwa kutumika hospitali kwa kukosa chumvi, mkaa

BUSEGA, Simiyu: MKUU wa Mkoa wa Simiyu, Dk Yahaya Nawanda ametoa siku tano kwa Mkuu wa Wilaya ya Busega, Faidha…

Soma Zaidi »

Watumia njia za uzazi waongezeka 150% Nzega

NZEGA, Tabora: MATUMIZI ya njia mbalimbali za uzazi wa mpango yameongezeka katika Zahanati ya Ubinga, Kijiji cha Ubinga wilayani Nzega…

Soma Zaidi »
Back to top button