Afya

Sh trilioni 6 zaboresha sekta ya afya

WAZIRI wa Afya ,Ummy Mwalimu amesema serikali ya awamu ya sita imetoa kiasi cha Sh trilioni 6.722 ndani ya miaka…

Soma Zaidi »

“Hakuna kitakachosimama”

MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya Ukimwi, Stanslaus Nyongo ameipongeza Serikali kupitia Wizara ya…

Soma Zaidi »

Hospitali ya Rufaa Chato kutoa huduma bobezi ya moyo

Soma Zaidi »

Madaktari waanza mgomo Kenya

MADAKTARI nchini Kenya wameanza mgomo wa wiki moja kutokana na serikali kuchelewesha kupeleka wahudumu wa afya. Pia wanalalamikia mazingira duni…

Soma Zaidi »

Ugonjwa wa figo wa nane kuua duniani

DAR ES SALAAM: Watu milioni 850 duniani wanasumbuliwa na magonjwa sugu ya figo na kati yao watu milioni 3.1 hufariki…

Soma Zaidi »

Presha ya macho kiini cha upofu

DAR ES SALAAM: Wakati dunia inaadhimisha wiki ya presha ya macho, ugonjwa huo umetajwa kuwa sababu kuu ya upofu usiotibika…

Soma Zaidi »

watoto milioni 11 kupewa vitamini A

JUMLA ya vidonge vya matone ya vitamin A milioni 22 vyenye thahamani ya Sh bilioni 100.3 yamepokelewa na serikali kwaajili…

Soma Zaidi »

Hospitali za rufaa mikoa kutumia Tehama

WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amezitaka hospitali zote za rufaa za mikoa kuanza kutumia mifumo ya Tehama ili kuboresha utoaji…

Soma Zaidi »

Bugando kuanza upandikizaji figo

HOSPITALI ya Rufaa ya Kanda Bugando, mkoani Mwanza itaanza kutoa huduma za upandikizaji figo mwishoni mwa mwaka huu. Hatua hiyo…

Soma Zaidi »

Benjamin Mkapa yaelemewa wagonjwa wa figo

DODOMA: Hospitali ya Benjamin Mkapa inakabiliwa na ongezeko kubwa la wagonjwa wa figo ambapo kwa siku watu zaidi ya 50…

Soma Zaidi »
Back to top button