Afya

Mashine ya Sh milioni 500 kutibu watoto MOI

DAR ES SALAAM: TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) leo imepokea mashine ya kisasa ya kutibu watoto…

Soma Zaidi »

Watoto 6 wenye jinsia tata wafanyiwa upasuaji Muhimbili

DAR ES SALAAM; Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), imewafanyia upasuaji wa mfumo wa mkojo na haja kubwa watoto 31 na…

Soma Zaidi »

Wajawazito 10,829 wapatiwa vifaa vya kujifungulia

DODOMA: NAIBU Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI,  Dkt Festo Dugange amesema katika kipindi cha mwaka 2022 hadi 2023 jumla ya Wajawazito…

Soma Zaidi »

Zungu: Anatropia acha kugoogle hovyo hovyo

DODOMA: Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Hassan ‘Zungu’ amemtaka Mbunge Anatropia Theonest kuacha kutumia…

Soma Zaidi »

Kigoma wapokea vifaa tiba

MKOA wa Kigoma umepokea msaada wa vifaa mbalimbali vya matibabu vilivyotolewa na Raisi Samia Suluhu Hassan ikiwa ni mpango wa…

Soma Zaidi »

Tafiti saba kuboresha huduma za kibingwa nchini

ZAIDI wataalamu wa afya 150 wamekutana jijini Dar es Salaam leo kujadili tafiti saba za kuboresha huduma za kibingwa bobezi…

Soma Zaidi »

NHIF yatahadharisha upotoshaji mitandaoni

DODOMA: WANANCHI wametakiwa kujihadhari na taarifa za upotoshaji kuhusu utaratibu wa usajili wa watoto kupitia mpango wa ‘Toto Afya Kadi’.…

Soma Zaidi »

TNMC kuwanoa wauguzi, wakunga Geita

BARAZA la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) limeweka kambi ya siku sita mkoani Geita kwa lengo la kutoa mafunzo ya…

Soma Zaidi »

Bima ya afya kwa wote mpango mzima – Dk Molel

DODOMA: Serikali imetoa wito kwa Watanzania, Viongozi wa kisiasa, kidini na kimila kuungana na Serikali katika kuhamasisha umma kujiunga na…

Soma Zaidi »

Wafanyakazi MOI wafundwa utoaji huduma za afya

WAFANYAKAZI wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) wametakiwa kuwatanguliza wananchi mbele kwa kuwapa huduma nzuri badala…

Soma Zaidi »
Back to top button