Afya

Mganga mkuu Ubungo aagizwa kukagua zahanati Msingwa

MGANGA Mkuu wa Manispaa ya Ubungo mkoani Dar es Salaam, Tulitweni Mwinuka ameagizwa kwenda kukagua Zahanati ya Msingwa iliyopo kata…

Soma Zaidi »

Vifo vitokanavyo na uzazi vyapungua Mtwara

MKOA wa Mtwara umefanikiwa kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi kutoka 17 Julai hadi Septemba mpaka 9 Oktoba hadi Disemba 2023.…

Soma Zaidi »

Waondoa bandama kwa kutoboa tundu

HOSPITALI ya Taifa Muhimbli-Mloganzila kwa kushirikiana na madaktari bingwa kutoka Korea Kusini imeandika historia kwa kuondoa bandama kwa kutumia matundu…

Soma Zaidi »

Sh bilioni 4 kutibu watoto wenye Selimundu

RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa Sh bilioni 4 kwa ajili ya kuwatibu watoto 20 wa ugonjwa wa selimundu. Hayo yamesemwa…

Soma Zaidi »

Tanzania yapokea Sh trilioni 1 Global Fund

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya imepokea msaada wa Sh trilioni 1.4 kutoka Global FUND ili kutekeleza afua mbalimbali za UKIMWI,…

Soma Zaidi »

Mbogamboga, matunda chanzo cha kipindupindu

DODOMA: Watafiti wametaja kuwa ulaji wa mboga mboga na matunda umekuwa chanzo cha maambukizi ya ugonjwa wa kipindupindu, huku wanawake…

Soma Zaidi »

Serikali kuwafutia usajili wazembe sekta afya

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amesema serikali haitawafumbia macho watumishi wanaokwenda kinyume na miiko na taratibu za…

Soma Zaidi »

Mpango jumuishi kutatua changamoto sekta ya afya

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amesema Mpango Jumuishi wa Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii unalenga kutatua…

Soma Zaidi »

Mpango jumuishi wahudumu wa afya kuzalisha ajira 137,294

SERIKALI imezindua Mpango Jumuishi wa Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii, ambao utatoa ajira  137,294 Tanzania Bara kwa kada hiyo…

Soma Zaidi »

Muhimbili yatumia saa 6 kutenganisha mapacha

DAR ES SALAAM: SAA sita zimetumika kuwatenganisha watoto mapacha wa kike wenye umri wa miezi 10 wakazi wa Kigamboni jijini…

Soma Zaidi »
Back to top button