Afya

Wafanya upasuaji wa kwanza kwa Mama mjamzito

SONGWE: HOSPITALI ya Wilaya ya Songwe katika Mkoa wa Songwe imefanikiwa kufanya upasuaji wa kwanza kwa mama mjamzito baada ya…

Soma Zaidi »

Kumenoga Mbogwe, Zahanati saba zafunguliwa

HALMASHAURI ya Wilaya ya Mbogwe imefungua vituo vya afya na Zahanati saba tayari kwa kuanza kutoa huduma wilayani hapo. Akizungumza…

Soma Zaidi »

Watoto 45 kufanyiwa upasuaji wa moyo

DAR ES SALAAM: WATOTO 45 wenye magonjwa ya moyo ya kuzaliwa nayo yakiwemo matundu kwenye moyo, na matatizo ya mishipa…

Soma Zaidi »

100 hutibiwa changamoto afya ya akili kila siku

DSM; JUMLA wagonjwa 70 hadi 100 wa afya ya akili huonwa kila siku katika kliniki zilizopo Hospitali ya Taifa ya…

Soma Zaidi »

Unataka kutengeneza shepu? Nenda Muhimbili fasta tu

DSM: Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Mloganzila, Oktoba 27, 2023 itaendesha upasuaji wa kutengeneza shepu ‘cosmetics surgery’ kwa watu wenye…

Soma Zaidi »

Tanzania yashuka kiwango cha ukeketaji

DAR ES SALAAM: TANZANIA inatajwa kuwa miongoni mwa nchi zilizopiga hatua katika kupunguza ukeketaji kwa asilimia 75. Kwa sasa ipo…

Soma Zaidi »

“Wanawake milioni 200 wamepitia ukeketaji na unyanyasaji”

DAR ES SALAAM: TAKWIMU za Kimataifa zinaonesha kuwa zaidi ya wanawake na watoto wa kike milioni 200 ulimwenguni wamekeketwa pamoja…

Soma Zaidi »

Wajumbe 900 kujadili ukeketaji Afrika

DAR ES SALAAM: WASHIRIKI 900 kutoka nchi mbalimbali za Umoja wa Afrika wanatarajiwa kuhudhuria mkutano wa Pili wa Kimataifa wa…

Soma Zaidi »

Hospitali ya rufaa Simiyu kuanza kutoa huduma za kibingwa

SIMIYU: Hospitali ya Rufaaa ya Mkoa wa Simiyu imeanza kupokea vifaa tiba mbalimbali kutoka Bohari ya Dawa (MSD) Kanda ya…

Soma Zaidi »

Mauki ataja dalili za ugonjwa wa afya ya akili

DAR ES SALAAM: MTAALAM wa Saikolojia Dk Chris Mauki ameeleza dalili za afya akili nchini kuwa ni pamoja na kukosa…

Soma Zaidi »
Back to top button