Afya

Sh Bil 56 zatengwa  kuboresha huduma MOI

SERIKALI imetenga jumla ya Sh bilioni 55.9 kwa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili  (MOI) kwa ajili ya…

Soma Zaidi »

Wapongeza ujenzi hospitali Karagwe

WANANCHI wa Wilaya Karagwe mkoani Kagera wameondokana na changamoto ya kutembea umbali mrefu kufuata huduma za matibabu katika Hospitali ya…

Soma Zaidi »

Maambukizi Malaria Nyang’hwale yapungua asilimia 4

HALMASHAURI ya Wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita imefanikiwa kupunguza kiwango cha maambukizi ya ugonjwa wa Malaria kwa asilimia 4 kutoka…

Soma Zaidi »

Watu 1,775 hatarini kupata upofu Lindi

WATU 1,775 kutoka Wilaya za Ruangwa, Nachingwea mkoani Lindi wako hatarini kupata upofu, baada ya kubainika kuwa na ugonjwa wa…

Soma Zaidi »

‘Watengewe sehemu za kunyonyesha’

WAAJIRI katika sekta rasmi na zisizo rasmi wamehimizwa kutenga sehemu maalum kwaajili ya wafanyakazi wanawake wanaonyonyesha ili waendelee kufanya hivyo…

Soma Zaidi »

Benjamin Mkapa kuongeza wigo tiba nguvu za kiume

MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Kanda ya Benjamin Mkapa, Dk Alphonce Chandika amesema wanajipanga kuongeza wigo wa kutoa huduma ya…

Soma Zaidi »

128 wapata huduma ya puto kupunguza uzito

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili Mloganzila hadi sasa imetoa huduma ya kupunguza uzito kwa watu 128 wenye uzito uliopitiliza kwa kutumia…

Soma Zaidi »

Taasisi India kutoa mafunzo huduma za afya

Tanzania imepanga kushirikiana na Taasisi ya Global Health Foundation ya nchini India katika mafunzo ya wataalam na utoaji wa huduma…

Soma Zaidi »

Muhimbili imekidhi vigezo AFCON 2027

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH) imefuzu kuwa na uwezo wa kushughulikia dharura za kiafya zinazoweza kujitokeza katika michuano ya  Fainali…

Soma Zaidi »

Wapimwa homa ya ini bure Muhimbili

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili leo Julai 28, 2023 imetoa huduma ya vipimo vya ugonjwa wa homa ya ini  bure, ambapo…

Soma Zaidi »
Back to top button