Fedha

‘CTW ni fursa nzuri kwa wafanyabiashara’

WAFANYABIASHARA nchini na wananchi, wametakiwa kutumia vyema maonesho ya CTW Tanzania 2022, yaliyoanza jana ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es…

Soma Zaidi »

Japan kununua kilo milioni 30 za tumbaku Tanzania

KAMPUNI ya Japan Tobacco Incorporation (JTI), imeahidi kununua kilo milioni 30 za tumbaku kutoka kwa wakulima wa Tanzania msimu ujao…

Soma Zaidi »

TRA yataka somo la kodi mitaala ya elimu

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), wamekutana na kamati ya Kitaifa ya uboreshaji wa Mitaala  inayoongozwa na Prof.Makenya Maboko jijini Dodoma…

Soma Zaidi »

TPA yaiwekea mikakati Bandari ya Bagamoyo

MAMLAKA  ya Usimaizi Bandari nchini (TPA), imesema iko katika maandalizi ya  ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, itakayosaidia utoaji wa huduma…

Soma Zaidi »

Wahandisi watakiwa kuchangamkia fursa za miradi

SERIKALI imeahidi kuendeleza, kuibua, kutambua, kukuza na kuendeleza ubunifu unaofanywa na wahandisi wazawa kwa maendeleo endelevu ya Taifa. Waziri wa…

Soma Zaidi »

Maonesho ya biashara, viwanda kivutio Dar

“MAONESHO ya kimataifa ya Afrika Mashariki ni muhimu sana kwa ajili ya sekta ya viwanda, lakini zaidi tunafurahi kwamba maonesho…

Soma Zaidi »

Mazao ya Tanzania yapata soko zuri kimataifa

SERIKALI imesema mazao kutoka Tanzania, yamekuwa yakiuzwa kwenye soko la  kimataifa, ikiwemo Nchi za Jumuiya ya Ulaya pasipo mashaka yoyote…

Soma Zaidi »

Watakiwa kujenga utamaduni kuweka akiba

WANANCHI wametakiwa kujengea utamaduni wa kujiwekea akiba ya fedha, ili ziweze kuwasaidia kwa maisha ya baadae. Mwezeshaji kutoka Taasisi ya…

Soma Zaidi »

Wafugaji kuku Dar wawatwisha lawama wafanyabiashara

BAADHI ya wafugaji wa kuku katika Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani, wameacha kufuga kuku kutokana na hasara waliyoipata…

Soma Zaidi »

Kongamano la biashara China, Tanzania laiva

ZAIDI ya Taasisi 50 zinatarajiwa kushiriki Kongamano la Biashara la Kimataifa  lililoandaliwa na Jukwaa lijulikanalo kama ‘China Trade Week’ (CTW)…

Soma Zaidi »
Back to top button