Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
Wananchi Karatu watakiwa kuwa makini huduma za fedha
January 23, 2025
Wananchi Karatu watakiwa kuwa makini huduma za fedha
WANANCHI wa Wilaya ya Karatu jijini Arusha, wametakiwa kuhakikisha kuwa wanatumia Taasisi za fedha zilizosajiliwa ambazo zinazingatia sheria, kanuni na…
Usajili wa wawekezaji TIC waongezeka asilimia 44
January 22, 2025
Usajili wa wawekezaji TIC waongezeka asilimia 44
KITUO Cha Uwekezaji Nchini (TIC) kimesema mwamko wa usajili wa miradi ya wawekezaji umeongezeka kutoka wawekezaji 500 kwa mwaka 2023…
TRA yakusanya Sh bilioni 71.5 kwa miezi sita Kariakoo
January 19, 2025
TRA yakusanya Sh bilioni 71.5 kwa miezi sita Kariakoo
DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imekusanya Sh bilioni 71.5 sawa na asilimia 104 katika kipindi cha miezi…
Wadau wataka somo la kodi liwepo shuleni
January 17, 2025
Wadau wataka somo la kodi liwepo shuleni
WADAU wa Maendeleo mkoani Shinyanga wameeleza suala la kodi lianze kufundishwa mashuleni ili kuondoa kero na changamoto zinazojitokeza hasa ukwepaji…
SGR yasafirisha wajumbe 922 vikao CCM
January 17, 2025
SGR yasafirisha wajumbe 922 vikao CCM
DAR ES SALAAM; MKURUGEN ZI Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa amesema wa metoa treni maalumu ya…
Wafanyabiashara wadaka fursa SGR
January 17, 2025
Wafanyabiashara wadaka fursa SGR
DAR ES SALAAM; BAADHI ya wafanyabi ashara wamejitokeza kwa Shirika la Reli Tanzania (TRC) kutaka wawe wanasa fi rishiwa mizigo…
NIC, Equity kushirikiana suluhisho bima ya kilimo
January 16, 2025
NIC, Equity kushirikiana suluhisho bima ya kilimo
DAR ES SALAAM : SHIRIKA la Bima la Taifa (NIC) na Benki ya Equity wamesaini makubaliano ya ushirikiano wa kimkakati…
Waomba sheria ya VAT Service Levy zifumuliwe
January 16, 2025
Waomba sheria ya VAT Service Levy zifumuliwe
WAFANYABIASHARA mkoani Geita wameiomba serikali kuzifanyia mapitio sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) pamoja na Sheria ya Ushuru…
DP World yamaliza foleni bandarini
January 16, 2025
DP World yamaliza foleni bandarini
JUMUIYA ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) imesema uwekezaji uliofanywa na serikali katika Bandari ya Dar es Salaam, umekuwa na ufanisi mkubwa…
Washindi ‘Santa Mizawadi’ wajibebea pikipiki, simu
January 14, 2025
Washindi ‘Santa Mizawadi’ wajibebea pikipiki, simu
WATANZANIA kadhaa wamebadili maisha na kujikwamua kwa namna tofauti baada ya kushinda zawadi mbalimbali ikiwemo pikipiki, televisheni na simu. Hatua…