Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
Tanzania, Urusi kuimarisha uchumi
October 30, 2024
Tanzania, Urusi kuimarisha uchumi
DAR ES SALAAM: SERIKALI ya Tanzania kwa kushirikiana na Serikali ya Urusi wamesaini vipengele muhimu vya makubaliano ya mfumo unaolenga…
Mradi wa Sh bilioni 60 kuboresha sekta ya usafishaji Ziwa Victoria
October 29, 2024
Mradi wa Sh bilioni 60 kuboresha sekta ya usafishaji Ziwa Victoria
MWANZA/BUKOBA: Serikali ya Tanzania imewekeza Sh bilioni 60 kuboresha bandari tatu kuu za Ziwa Victoria. Meneja wa Bandari za Ziwa…
Dk Chana ahamasisha uwekezaji mazao ya misitu
October 27, 2024
Dk Chana ahamasisha uwekezaji mazao ya misitu
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Balozi, Dk Pindi Chana amewahimiza wawekezaji wa mazao ya misitu kutoka nchini China kuanzisha viwanda…
Bandari yajipanga kusafirisha shehena ya korosho
October 26, 2024
Bandari yajipanga kusafirisha shehena ya korosho
MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari (TPA) imesema Bandari ya Mtwara imejipanga kusafirisha korosho ghafi ambazo zinatarajiwa kusafirishwa kwenda nje ya…
Waipongeza Tanzania kuondoa vikwazo vya biashara
October 26, 2024
Waipongeza Tanzania kuondoa vikwazo vya biashara
WAJUMBE wa Bunge la Afrika (PAP) wameipongeza Serikali ya Tanzania kwa kuondoa vikwazo vya biashara kwa nchi za Jumuiya ya…
Mpango awakaribisha wawekezaji nishati jotoardhi
October 23, 2024
Mpango awakaribisha wawekezaji nishati jotoardhi
MAKAMU wa Rais Dk Philip Mpango amewakaribisha wawekezaji kushirikiana na Tanzania katika kuwekeza kwenye nishati ya Jotoardhi inayopatikana katika maeneo…
Wafanyabiashara wakumbushwa kutunza taarifa zao
October 21, 2024
Wafanyabiashara wakumbushwa kutunza taarifa zao
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imewataka wafanyabiashara mkoani Kagera kutumia mashine za kielekroniki kwa usahihi (EFD) pamoja na kutunza vizuri…
Uwekezaji wa Sh bil 429.1 waleta mabadiliko Bandari ya Tanga
October 20, 2024
Uwekezaji wa Sh bil 429.1 waleta mabadiliko Bandari ya Tanga
TANGA: Utendaji wa Bandari ya Tanga umeimarika kwa kiasi kikubwa katika miaka ya hivi karibuni, kutokana na uwekezaji wa Serikali…