Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Madereva wa Bolt wakaribisha mpango mpya wa usalama

Madereva wa Bolt wakaribisha mpango mpya wa usalama

DAR ES SALAAM: MADEREVA wa Bolt wamepokea kwa furaha, mpango wa serikali unaolenga kuimarisha usalama wa madereva na abiria wakisistiza…
DC Kahama ajivunia matunda ya kodi wilayani kwake

DC Kahama ajivunia matunda ya kodi wilayani kwake

SHINYANGA; MKUU wa Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, Mboni Mhita amewataka wananchi kuendelea kulipo kodi na kujivunia maendeleo mbalimbali yanayopatikana…
Awamu ya Sita yapongezwa kukuza uchumi

Awamu ya Sita yapongezwa kukuza uchumi

SERIKALI ya Awamu ya Sita imepongezwa kwa kukuza uchumi wa nchi. Hivi karibuni Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT),…
Vijana Dodoma wachangamkia fursa za mikopo

Vijana Dodoma wachangamkia fursa za mikopo

KWA Mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022, idadi ya vijana nchini ni asilimia 34.5 ya Watanzania…
Thamani vitega uchumi NSSF juu asilimia 92

Thamani vitega uchumi NSSF juu asilimia 92

THAMANI ya vitega uchumi vya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) imeongezeka kwa asilimia 92 kwa miaka minne,…
SBL yawanoa wanawake, vijana wanaosambaza vinywaji

SBL yawanoa wanawake, vijana wanaosambaza vinywaji

MWANZA: Kampuni ya Serengeti Breweries Limited (SBL) kwa kushirikiana na shirika lisilo la kiserikali, Bridge for Change (BFC), imezindua programu…
Kamati ya Bunge yatoa neno miundombinu mabasi ya mwendokasi

Kamati ya Bunge yatoa neno miundombinu mabasi ya mwendokasi

DAR ES SALAAM; KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeshauri serikali kuongeza usimamizi wa ujenzi wa miundombinu ya barabara…
Tril 67/- zawekezwa miradi miaka minne

Tril 67/- zawekezwa miradi miaka minne

SERIKALI imesema Sh trilioni 67 zimewekezwa kwa miaka minne katika miradi ya uwekezaji nchini. Aidha, katika kipindi hicho cha uongozi…
Majaliwa: Serikali itaendelea kuboresha mazingira ya ujasiriamali

Majaliwa: Serikali itaendelea kuboresha mazingira ya ujasiriamali

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali inaendelea na mkakati wa kufungua milango ya ujasiriamali kwa kutekeleza sera na programu mbalimbali…
Benki ya Dunia yasifu sera za Rais Samia

Benki ya Dunia yasifu sera za Rais Samia

MKURUGENZI Mtendaji wa Benki ya Dunia Kanda ya Afrika, Dk Zarau Kibwe amepongeza uongozi na sera za kiuchumi za Rais…
Back to top button