Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

TRA makusanyo juu 78% miaka minne

TRA makusanyo juu 78% miaka minne

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imeongeza makusanyo ya kodi kwa asilimia 78 katika miaka minne ya Serikali ya Awamu ya…
Serikali yapunguza utegemezi wa bajeti

Serikali yapunguza utegemezi wa bajeti

SERIKALI imependekeza ukomo wa Bajeti ya Serikali wa Sh trilioni 57.04 kwa mwaka wa fedha 2025/2026. Ukomo huo ni sawa…
Geita yafungua milango ujenzi mabanda viwanja vya Samia

Geita yafungua milango ujenzi mabanda viwanja vya Samia

MKUU wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela ametangaza kuwa milango ipo wazi kwa wadau mbalimbali kuanza ujenzi wa mabanda ya…
ATHARI ZA FUNZA MWEKUNDU: Zuio kilimo cha pamba si adhabu

ATHARI ZA FUNZA MWEKUNDU: Zuio kilimo cha pamba si adhabu

KILIMO cha pamba ni sekta muhimu kwa uchumi wa wakulima na taifa kwa ujumla. Hata hivyo, mikoa ya Mtwara, Lindi,…
Kongani za viwanda Mtwara kukuza uchumi wa wananchi

Kongani za viwanda Mtwara kukuza uchumi wa wananchi

“LENGO la serikali ni kwamba ifikapo mwaka 2030, asilimia 100 ya korosho yote inayozalishwa nchini ibanguliwe hapa nchini.” “Maana yake…
G-25 na thamani ya kahawa Afrika

G-25 na thamani ya kahawa Afrika

KWA kutazama kijuu juu unaweza kudhani zao la kahawa ni la kawaida na pengine halina faida au kipato chake ni…
Serikali yaeleza manufaa umeme wa nje

Serikali yaeleza manufaa umeme wa nje

SERIKALI imesema nchi ina umeme wa kutosha lakini itanunua megawati 100 nchini Ethiopia kwa ajili ya mikoa ya Kanda ya…
Namna kampeni ya ‘Shangwe Popote’ inavyotumika kuwahimiza wananchi kulipa kupitia simu

Namna kampeni ya ‘Shangwe Popote’ inavyotumika kuwahimiza wananchi kulipa kupitia simu

DAR EA SALAAM: Kwa Watanzania wengi, msimu wa sikukuu ni wakati wa kusherehekea, kusafiri, na kujumuika na familia. Hata hivyo,…
Mchango wa SBL kukuza usawa wa kijinsia watambulika

Mchango wa SBL kukuza usawa wa kijinsia watambulika

Dar es Salaam: Kampuni ya Serengeti Breweries Limited (SBL) imetambuliwa katika tuzo maarufu za Rising Woman kwa mchango wake mkubwa…
Mbunge ahimiza wakulima wa korosho kujisajili

Mbunge ahimiza wakulima wa korosho kujisajili

KUELEKEA msimu wa kilimo cha zao la korosho mwaka 2025/2026, wakulima wa zao hilo katika Halmashauri ya Mji Nanyamba mkoani…
Back to top button