Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

RC Geita awatimua maofisa wa GGML kikao cha RCC

RC Geita awatimua maofisa wa GGML kikao cha RCC

MKUU wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela ameamuru maofisa watendaji watatu wa Kampuni ya Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGML)…
Tanzania yanga’ara uwekezaji kutoka nje

Tanzania yanga’ara uwekezaji kutoka nje

UWEKEZAJI wa moja kwa moja kutoka nje (FDI) umeendelea kuongezeka katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, imefahamika. Ripoti ya Uwekezaji…
Umuhimu wa mawasiliano katika kukuza uchumi

Umuhimu wa mawasiliano katika kukuza uchumi

MAWASILIANO ni nyenzo muhimu kwa nchi yoyote ile duniani. Kwa nchi yenye watu wenye kipato cha kati na maskini kama…
Barabara Bagamoyo-Tanga itakavyoifungua nchi kiuchumi

Barabara Bagamoyo-Tanga itakavyoifungua nchi kiuchumi

FEBRUARI 26, mwaka huu Rais Samia Suluhu Hassan aliweka jiwe la msingi la ujenzi wa barara ya Bagamoyo (Makurunge) –…
Kitila: Hakuna sababu ya kuagiza nondo, mabati nje

Kitila: Hakuna sababu ya kuagiza nondo, mabati nje

SERIKALI imesema hakuna haja ya kuagiza nondo na mabati kutoka nje ya nchi kwa sababu viwanda vilivyopo nchini vinakidhi mahitaji.…
Veta yaja kibiashara, kutumia vituo 14 vya umahiri

Veta yaja kibiashara, kutumia vituo 14 vya umahiri

MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imeanzisha kampuni ya kibiashara. Mkurugenzi Mkuu wa Veta, Anthony Kasore amesema…
TRA Geita yakusanya bil 34/ miezi sita

TRA Geita yakusanya bil 34/ miezi sita

MAMLAKA ya Mapato (TRA) Mkoa wa Geita imekusanya kiasi cha sh bilioni 34.44 sawa na asilimia 109.76 ya lengo la…
Maboresho Bandari ya Tanga yalipa

Maboresho Bandari ya Tanga yalipa

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa amesema maboresho makubwa yaliyofanywa na yanayoendelea kufanywa katika…
Msigwa aanika mafanikio lukuki mkutano wa kahawa

Msigwa aanika mafanikio lukuki mkutano wa kahawa

MSEMAJI Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa amesema mkutano wa tatu…
Samia: Tanzania imefunguka kwa uwekezaji

Samia: Tanzania imefunguka kwa uwekezaji

RAIS Samia Suluhu Hassan amewahakikishia wawekezaji kuwa Tanzania imefunguka kwa uwekezaji na ni nchi salama yenye sera za uwekezaji rafiki,…
Back to top button