Uchumi

Majaliwa akaribisha wawekezaji kwenye  mbolea

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewaalika wawekezaji waliobobea kwenye sekta ya mbolea ili waje kufungua viwanda vya mbolea nchini. Ametoa mwaliko…

Soma Zaidi »

Kodi ya majengo yapanda

MAMLAKA ya mapato Tanzania (TRA) kwa kushirikiana na shirika la umeme Tanzania (TANESCO) imeeleza kuwa serikali imefanya mabadiliko ya sheria…

Soma Zaidi »

Dar watakiwa kutumia fursa

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewataka wananchi wa mkoa huo kukuza kipato na kuimarisha uchumi kupitia…

Soma Zaidi »

Uhaba wa vitunguu wapaisha bei

UHABA wa vitunguu katika soko la Ilala jijini Dar es Salaam, umesababisha bei ya vitunguu kuwa juu na kufikia kati…

Soma Zaidi »

‘Msiwazie ajira ni TRA pekee’

CHUO  cha Kodi kimewataka vijana wanaosoma chuoni hapo kuondoa dhana kuwa sehemu pekee wanayoweza kupata ajira ni Mamlaka ya Mapato…

Soma Zaidi »

Jiji lajipanga uzalishaji majongoo bahari, kaa

JIJI la Tanga limejipanga kuwa kinara katika uzalishaji wa majongoo bahari, unenepeshaji wa kaa pamoja na kilimo cha mwani nchini…

Soma Zaidi »

‘DP World haitakuwa na mamlaka kupunguza wafanyakazi’

Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Usafiri wa Anga Hamza Johari, ambaye ndiye Mwenyekiti wa Tume ya Majadiliano kuhusu mwekezaji mpya kwenye…

Soma Zaidi »

Rais Samia: Msiogope kushirikiana na wakosoaji

Rais Samia Suluhu Hassan, amewataka viongozi  mbalimbali kushirikiana na wadau wanaohisi wana mchango mzuri kwenye maendeleo ya taasisi zao. –…

Soma Zaidi »

Samia: Maendeleo ni haki ya Watanzania

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi katika sekta mbalimbali kujali na kuthamini maendeleo, akisema kuwa ni haki ya Watanzania kuiona…

Soma Zaidi »

Samia ataka Watanzania kuchangamkia fursa

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kuchangamkia fursa mbalimbali zinazojitokeza, kwani fursa huja na kupotea kwa haraka. – Rais Samia…

Soma Zaidi »
Back to top button