Uchumi

Michezo ya kubahatisha, tozo juu

SERIKALI inakusudia kuongeza tozo ya michezo ya kubahatisha kutoka shilingi 10,000 hadi Shilingi 30,000 kwa kila mashine ya Sloti kwenye…

Soma Zaidi »

Deni la Taifa bado himilivu – Mwigulu

DENI  la Serikali hadi Aprili 2023, lilikuwa shilingi trilioni 79.10, sawa na ongezeko la asilimia 13.9 ikilinganishwa na shilingi trilioni…

Soma Zaidi »

Sh 100 kuongezwa kwa kila lita ya Dizeli, Petroli

SERIKALI imependekeza kufanya marekebisho kwenye Sheria ya Ushuru wa Barabara na Mafuta, Sura 220 kwa kuongeza Ushuru wa Barabara na…

Soma Zaidi »

Marufuku kufunga biashara- Mwigulu

SERIKALI imepiga marufuku utaratibu  unaochipukia kwa kasi wa taasisi mbalimbali za Serikali na Halmashauri kufunga biashara, ofisi na maeneo mengine…

Soma Zaidi »

Madudu haya kero kwa wawekezaji – Mwigulu

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Mwigulu Nchemba amesema kuwa wawekezaji wa nje  wamekuwa wakikutana na vikwazo vingi kuliko uwezeshaji ndani…

Soma Zaidi »

Matangazo mtandaoni kutozwa kodi

SERIKALI inatarajia kuanzisha mfumo wa kidijitali wa kufuatilia na kuhakikisha kodi husika za Serikali zinalipwa kwa wakati kwa matangazo ya…

Soma Zaidi »

Kiwango cha umaskini chapungua

WAZIRI  wa Fedha na Mipango, Mwigulu Nchemba  amesema Tanzania imefanikiwa kupunguza kiwango cha umasikini uliokithiri kutoka asilimia 9.7 kwa mwaka…

Soma Zaidi »

Mwigulu awananga wanasiasa

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Mwigulu Nchemba  amewatolea uvivu wanasiasa ambao wamekuwa wakidai kuwa kodi zinazotozwa ni zake na Rais…

Soma Zaidi »

Tanzania yapanda nafasi ya 6 kiuchumi

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Mwigulu Nchemba amesema Tanzania inasonga mbele licha ya nchi zote duniani kupita kwenye misukosuko ya…

Soma Zaidi »

SGR DAR -Moro wafikia 98.14%

WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk Mwigulu Nchemba amesema serikali imeendelea na ujenzi wa njia ya Reli ya Kati kwa…

Soma Zaidi »
Back to top button