Uchumi

Ndege ya mizigo kupenyeza bidhaa masoko makubwa

WAFANYABIASHARA wamesema ndege mpya ya mizigo aina ya Boeing 767-300F yenye uwezo wa kubeba tani 54 za mizigo iliyonunuliwa na…

Soma Zaidi »

Pato la kila mtanzania ni sh milioni 2.8 kwa mwaka

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba amesema kuwa pato la Taifa kwa mtu kwa maana kila mtanzania kwa…

Soma Zaidi »

Serikali kuanzisha akiba ya dhahabu

SERIKALI imekamilisha taratibu za kununua dhahabu kupitia Benki Kuu ya Tanzania kwa ajili ya kuanzisha akiba ya dhahabu hapa nchini.…

Soma Zaidi »

Ushuru wa Shisha, Sigara wapaa

SERIKALI imekusudia kutoza ushuru wa bidhaa ya Sigara na Shisha kwa asilimia 30. Katika bajeti ya serikali iliyowasilishwa jana na…

Soma Zaidi »

Tozo miamala ya simu kufutwa

SERIKALI imekusudia kufuta tozo kwa siku kwa kila laini ya simuk kulingana na uwezo wa kuongeza salio kwa watumiaji ili…

Soma Zaidi »

Bajeti ya Rwanda yafikia sh trilioni 9.5

SERIKALI ya Rwanda inakusudia kukusanya na kutumia kiasi cha faranga za Rwanda trilioni 5.03 (TSh trilioni 9.5) katika mwaka wa…

Soma Zaidi »

Bajeti ya Kenya sh trilioni 63.2

SERIKALI ya Rais William Ruto imewasilisha bajeti yake ya kwanza ya Sh trilioni 3.7 za kenya (TSh trilioni 63.2) ikipania…

Soma Zaidi »

Serikali yapendekeza bajeti ya sh trilioni 44.39

SERIKALI imependekeza mapato na matumizi ya Sh trilioni 44.39 kama bajeti kwa mwaka wa fedha 2023/24. Waziri wa Fedha na…

Soma Zaidi »

Bajeti Uganda sh yafikisha trilioni 34

WAZIRI wa Fedha wa Uganda Matia Kasaija amewasilisha hotuba ya mapato na matumizi ya Serikali ya Rais Yoweri Musevini imeonge…

Soma Zaidi »

Hakuna ushuru magari ya gesi, umeme

SERIKALI inakusudia kusamehe ushuru wa bidhaa unaotozwa kwa mujibu wa uwezo wa injini (engine capacity) kwenye magari yanayotumia nishati ya…

Soma Zaidi »
Back to top button