Uchumi

Wazee Dar: Sekta binafsi muhimu, tusigawanywe bandari

WAZEE wa Mkoa wa Dar es Salaam wamesema serikali haiwezi kuleta maendeleo kwa wananchi peke yake bila kuwekeza na kushirikiana…

Soma Zaidi »

Kikwete ataka nguvu kwenye rasilimali watu

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dk. Jakaya Kikwete, amesema vyuo na taasisi nyingine za elimu nchini ni nyenzo muhimu…

Soma Zaidi »

JK: Maonesho ya Sabasaba iwe fursa ya masoko

RAIS Mstaafu wa Awamu ya Nne Dk. Jakaya Kikwete, amesema ni wajibu kwa wafanyabiashara nchini kuona maonesho ya Sabasaba 2023′…

Soma Zaidi »

TADB waomba kibali kufungua kiwanda

BENKI ya Maendeleo ya Kilimo (TADB), imetuma ombi kwa serikali la kutoa kibali kwa mwekezaji cha kufungua Kiwanda cha kuchakata…

Soma Zaidi »

Majaliwa kuzindua ofisi za TADB Mtwara

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa, leo anatarajiwa kuzindua ofisi ya Benki ya Maendeleo ya Kilimo nchini (TADB) Kanda ya Kusin,i ambayo…

Soma Zaidi »

Majaliwa: Fanyeni biashara kwa kujiamini, weledi

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa, amewataka wafanyabiashara kufanya shughuli zao kwa kujiamini, weledi na uzalendo huku wakizingatia kanuni, sheria na taratibu…

Soma Zaidi »

Lissu ashauri mfumo wa kodi uboreshwe

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amesema kuna haja ya kuboresha mfumo wa ukusanyaji wa…

Soma Zaidi »

Watafiti, wafanyabiashara wakaribishwa TSN

KAMPUNI ya Magazeti ya Serikali (TSN) imewakaribisha watafiti, wafanyabiashara na wananchi kwa ajili ya kupata habari na taarifa mbalimbali za…

Soma Zaidi »

Dk Mwinyi akutana na wawekezaji China

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi ameendelea kuhimiza wawekezaji wa China kuangalia fursa…

Soma Zaidi »

TNBC yajivunia mafanikio Serikali ya Samia

BARAZA la Taifa la Biashara (TNBC) limesema Serikali ya Awamu ya Sita imeboresha mazingira ya kufanya biashara na uwekezaji.  …

Soma Zaidi »
Back to top button