Uchumi

Serikali za Afrika ziunge mkono mkakati wa AGRA kubadili kilimo

TAASISI ya Mapinduzi ya Kijani barani Afrika (AGRA) imezindua mkakati mpya wa miaka 5 unaolenga kuanzisha njia mpya ya kufanya…

Soma Zaidi »

e-GA yaagizwa kuwa kioo cha mifumo ya Tehama

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Jenista Mhagama, ameitaka Mamlaka ya Serikali…

Soma Zaidi »

Jiji baada ya Machinga Complex yageukia masoko madogo

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imeweka mkakati wa kukabiliana na ongezeko la wamachinga kwa kuanza kujenga masoko mengine ya kisasa…

Soma Zaidi »

Kongwa wampa ‘tano’ Rais Samia miradi ya maendeleo

BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa  mkoani Dodoma limempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuipatia halmashauri hiyo…

Soma Zaidi »

Kituo cha mabasi kupaisha mapato Mwanza (ya kimkakati)

UJENZI wa mradi wa kituo cha mabasi Nyegezi jijini Mwanza ambao sasa umefikia asilimia 96 unatarajiwa kupaisha mapato ya Mkoa…

Soma Zaidi »

Wizara yahadharisha matamasha utalii wa ndani

WIZARA ya Maliasili na Utalii imeutahadharisha umma uwe makini na matamasha ya kutangaza utalii wa ndani Taarifa ya kitengo cha…

Soma Zaidi »

SMZ yataja utajiri wa tril 669/- uchumi wa buluu

 SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema kuwa Ukanda wa Magharibi wa Bahari ya Hindi una fursa ya kuvuna kiasi…

Soma Zaidi »

TRA yawapa elimu ya kodi wafanyabiashara Kagera

MAMLAKA ya Mapato nchini (TRA), mkoani Kagera imekutana na wafanyabiashara, ili kutoa elimu juu ya mabadiliko mbalimbali ya sheria za…

Soma Zaidi »

Majaliwa aagiza wanunuzi waliokopa tumbaku wawajibishwe

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza wanunuzi wote waliochukua tumbaku za wakulima na hawajawalipa fedha wachukuliwe hatua za kisheria ikiwamo kufi…

Soma Zaidi »

‘Serikali haikusitisha vibali usafirishaji mazao nje’

SERIKALI imesema haijasitisha utoaji wa vibali vya kusafi risha mazao ya chakula nje ya nchi kama ilivyoripotiwa na baadhi ya…

Soma Zaidi »
Back to top button