Uchumi

Waomba ujenzi wa barabara ya lami mpakani na Msumbiji

WANANCHI wa vijiji vinavyopitiwa na Barabara ya Likuyufusi –Mkenda na nchi jirani ya Msumbiji kwa upande wa Mkoa wa Ruvuma,…

Soma Zaidi »

Ujenzi miundombinu kuvutia wawekezaji

MKAKATI wa serikali ni kuhakikisha inajenga miundombinu wezeshi ili kuvutia wawekezaji katika maeneo mbalimbali nchini, bunge limeelezwa. Naibu Waziri wa…

Soma Zaidi »

Wabunge, wasomi waipa ‘tano’ serikali kufuta tozo

SERIKALI imepongezwa kwa kusikiliza kilio cha wananchi na kupunguza baadhi ya tozo za miamala ya kielektroniki kuanzia Oktoba Mosi, mwaka…

Soma Zaidi »

Mkurabita yaanza kurasimisha biashara ya bodaboda

MRATIBU wa Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA), Dk Seraphia Mgembe amesema mwaka huu wamerasimisha biashara…

Soma Zaidi »

SMZ yataja umuhimu sera ya nchi uchumi wa buluu

SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imesema sera ya pamoja ya Tanzania bara na Zanzibar ni muhimu katika kuzitumia fursa za…

Soma Zaidi »

Mchanganuo tozo zilizofutwa, zilizopunguzwa

SERIKALI imetangaza marekebisho katika tozo za miamala ya kielektroniki kutoka benki Kwenda kwenye simu na mawakala wa benki na ATM.…

Soma Zaidi »

Baada ya tozo Mwigulu atoa maelekezo mapya

MLIPAJI Mkuu wa Serikali ametakiwa kukaa na maofisa masuuli wote kuangalia upya mafungu ya matumizi mengineyo ili miradi ya maendeleo…

Soma Zaidi »

‘Msisitizo diplomasia ya uchumi, upatikanaji masoko’

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa, amewataka mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika mataifa mbalimbali kuweka msisitizo katika utekelezaji wa diplomasia ya uchumi na…

Soma Zaidi »

Watumia Bandari ya Mtwara kusafirisha makaa ya mawe

KAMPUNI ya wazawa ya Jitegemee Holdings Company Ltd, inayojihusha na uchimbaji wa madini nchini, imeanza kutumia bandari ya Mtwara kusafirisha…

Soma Zaidi »

Serikali kufufua viwanda vilivyokufa

WAZIRI wa Uwekezaji , Viwanda na Biashara , Dk Ashatu Kijaji amesema serikali imedhamiria kuona viwanda vyote nchini vinafanya kazi…

Soma Zaidi »
Back to top button