Uchumi

Mtanzania aliyepania kufuta umaskini kwa kuzalisha mbegu bora za mazao

“NILIKUWA nikiumizwa na habari za mazao yetu kushambuliwa na magonjwa, kama mnyauko lilininyima usingizi, nikiwa katika majukumu yangu ya kazi…

Soma Zaidi »

Kilimo ikolojia mpango mzima kukabili mabadiliko tabianchi

WADAU wa kilimo ikolojia wameishauri jamii kukuza sekta hiyo ili mazingira yaweze kustahimili mabadiliko ya tabianchi ambayo kwa sasa yanaathiri…

Soma Zaidi »

Vitega uchumi vya Dodoma City, Mtumba kuanza kazi Novemba

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Joseph Mafuru amesema vitega uchumi vya Hoteli ya Dodoma City na kile cha…

Soma Zaidi »

Tamko la Tanzania kushusha bei ya mahindi Kenya

BEI ya mahindi iliyopanda kutokana na kuenea kwa uvumi kuwa Tanzania imesitisha utoaji wa vibali vya uingizaji wa mahindi nchini…

Soma Zaidi »

Samia ataka uwekezaji wa sayansi, teknolojia

RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Afrika wakiwekeza zaidi katika sayansi na teknolojia kwa vijana, wanaweza kuwa sehemu muhimu…

Soma Zaidi »

‘Waelimisheni wanawake wajiunge majukwaa  ya uwezeshaji’

SERIKALI imezindua mwongozo wa kitaifa wa uanzishaji na uendeshaji majukwaa ya uwezeshaji wanawake kiuchumi, wenye lengo la kuleta ufanisi wa…

Soma Zaidi »

Ruvuma wana akiba ya kutosha ya chakula

MKUU wa Mkoa Ruvuma, Kanali Laban Thomas amesema mkoa huo una akiba ya chakula kutosheleza wananchi wake na kwamba kwa…

Soma Zaidi »

LATRA yashughulikia changamoto taxi mtandao

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), Habibu Suluo, amesema wanaendelea kushughulikia changamoto za huduma za teksi mtandao,…

Soma Zaidi »

AGRA yatangaza mkakati wa kubadili kilimo Afrika

TAASISI ya Mapinduzi ya Kijani barani Afrika (AGRA) imezindua mkakati mpya wa miaka 5 unaolenga kuanzisha njia mpya ya kufanya…

Soma Zaidi »

TRC wakamilisha Kituo cha Mvave hifadhi ya Saadani

SHIRIKA la Reli Tanzania (TRC) limesema kukamilika kwa ukarabati wa Kituo cha Stesheni ya Mvave iliyopo karibu na mbuga ya…

Soma Zaidi »
Back to top button