Uchumi

Baada ya tozo Mwigulu atoa maelekezo mapya

MLIPAJI Mkuu wa Serikali ametakiwa kukaa na maofisa masuuli wote kuangalia upya mafungu ya matumizi mengineyo ili miradi ya maendeleo…

Soma Zaidi »

‘Msisitizo diplomasia ya uchumi, upatikanaji masoko’

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa, amewataka mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika mataifa mbalimbali kuweka msisitizo katika utekelezaji wa diplomasia ya uchumi na…

Soma Zaidi »

Watumia Bandari ya Mtwara kusafirisha makaa ya mawe

KAMPUNI ya wazawa ya Jitegemee Holdings Company Ltd, inayojihusha na uchimbaji wa madini nchini, imeanza kutumia bandari ya Mtwara kusafirisha…

Soma Zaidi »

Serikali kufufua viwanda vilivyokufa

WAZIRI wa Uwekezaji , Viwanda na Biashara , Dk Ashatu Kijaji amesema serikali imedhamiria kuona viwanda vyote nchini vinafanya kazi…

Soma Zaidi »

Daraja jipya la Wami Ruvu kuanza kutumika Sept. 30

DARAJA Jipya la Wami lenye urefu wa mita 513.5 na barabara unganishi ya kilometa 3. 8 litaanza  kutumika Septemba 30,…

Soma Zaidi »

Oryx wapania kufungua vituo zaidi mikoani

KAMPUNI ya nishati ya Oryx Tanzania, imesema imedhamiria  kufungua vituo zaidi vya mafuta kwenye mikoa mbalimbali nchini. Mkurugenzi Mkuu wa…

Soma Zaidi »

Dart yatumia milioni 3.5/- kukarabati madarasa

SHIRIKA lisilokuwa la kiserikali la Dart limefanya ukarabati wa vyumba vinne vya madarasa na kutoa vifaa vya kujifunza vyenye thamani…

Soma Zaidi »

Ulega awahakikishia wananchi madaraja matatu kujengwa

MBUNGE wa Mkuranga, Abdallah Ulega amewahakikishia wananchi wa Mkuranga kwamba mwaka huu serikali itajenga madaraja matatu yaliyoainishwa kwa ujenzi kwa…

Soma Zaidi »

RC aagiza uzalishaji zaidi mkonge

MKUU wa Mkoa wa Tanga, Omar Mgumba ameagiza Chama cha Wakulima wa Mkonge (SAT) kuja na mpango wa kuendeleza mashamba…

Soma Zaidi »

Mkongo wa 2 Africa Submarine kupaisha uwezo wa tehama

TANZANIA itakuwa kitovu cha maunganisho ya mawasiliano Afrika Mashariki na Kati kutokana na uwepo wa mkongo wa mawasiliano wa 2…

Soma Zaidi »
Back to top button