Uchumi

‘CTW ni fursa nzuri kwa wafanyabiashara’

WAFANYABIASHARA nchini na wananchi, wametakiwa kutumia vyema maonesho ya CTW Tanzania 2022, yaliyoanza jana ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es…

Soma Zaidi »

Marekani kuiwezesha NIT umaahili wa barabara

CHUO cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kipo katika mazungumzo na Mamlaka ya Barabara (FHWA) ya serikali ya Marekani ili kukiwezesha…

Soma Zaidi »

Tanzania yataka kuwa kitovu tehama Afrika 

SERIKALI imesema imedhamiria kuiweka Tanzania katika maendeleo ya teknolojia ya habari na mawasiliano (Tehama) duniani. Katibu Mkuu wa Wizara ya…

Soma Zaidi »

Ujenzi viwanja vya ndege kuongeza kasi ya uchumi

SERIKALI imesaini mkataba wa Sh bilioni 165 kujenga Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato mkoani Dodoma. Ujenzi huo unatekelezwa…

Soma Zaidi »

EAC yatakiwa kurahisisha usafiri wa anga

JUKWAA la Utalii la Afrika Mashariki (EATP) limezitaka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kuondoa vikwazo katika matumizi…

Soma Zaidi »

Profesa: Ukuaji uchumi umeongeza mabilionea EAC

MTAALAMU wa uchumi ambaye pia ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa Humphrey Moshi amesema kuchomoza…

Soma Zaidi »

Japan kununua kilo milioni 30 za tumbaku Tanzania

KAMPUNI ya Japan Tobacco Incorporation (JTI), imeahidi kununua kilo milioni 30 za tumbaku kutoka kwa wakulima wa Tanzania msimu ujao…

Soma Zaidi »

TRA yataka somo la kodi mitaala ya elimu

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), wamekutana na kamati ya Kitaifa ya uboreshaji wa Mitaala  inayoongozwa na Prof.Makenya Maboko jijini Dodoma…

Soma Zaidi »

TPA yaiwekea mikakati Bandari ya Bagamoyo

MAMLAKA  ya Usimaizi Bandari nchini (TPA), imesema iko katika maandalizi ya  ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, itakayosaidia utoaji wa huduma…

Soma Zaidi »

TTB, Njombe waipangia mikakati hifadhi ya Kitulo

BODI ya Utalii nchini (TTB), imepanga kuinua utalii uliopo  Nyanda za Juu  Kusini, husuani mkoa wa Njombe katika hifadhi  ya…

Soma Zaidi »
Back to top button