Habari Kwa Kina

Rais Samia apewe maua yake

JAMHURI ya Muungano wa Tanzania-Kazi Iendelee. Mei Mosi kulifanyika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi duniani, kama ilivyo kawaida ya siku…

Soma Zaidi »

Mongella asifu uwezo wa Samia

MWANASIASA mkongwe, Balozi Getrude Mongella ametaja mambo ambayo wanawake wanapaswa kuyazingatia wakubalike kiuongozi, wawe imara kama Rais Samia Suluhu Hassan…

Soma Zaidi »

Matumizi holela ya dawa sababu usugu wa tiba 

USUGU wa vimelea dhidi ya dawa ni janga linaloikabili dunia kwa sasa. Tanzania kama zilivyo nchi nyingine duniani, kwa kiasi…

Soma Zaidi »

Polepole kumwandikia Rais Samia wasiotumia dawa viuadudu Kibaha

MALARIA ni moja ya ugonjwa unaoongoza kuua ikiwemo wajawazito na watoto wachanga nchini. Asilimia 36 ya vifo vinatokana na ugonjwa…

Soma Zaidi »

Mtanzania aliyehusika mchoro tamasha kutawazwa Mfalme Charles III

KAMA kuna watu waliofanikiwa kuuza nchi zao kimataifa ni Shafina Jaffer, Mtanzania aliyeipeperusha vyema bendera ya nchi yake ughaibuni kutokana…

Soma Zaidi »

Tanzania, Unicef mguu sawa kuimarisha chanjo kwa watoto

RIPOTI mpya ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF), inaonesha watoto milioni 67 walikosa chanjo moja au…

Soma Zaidi »

Nyota inayokufa yaitabiria dunia miaka bilioni 5 ijayo

KWA mara ya kwanza wanasayansi wameona nyota inayokufa umbali wa kiasi cha miaka 12,000 ya mianga. Kwa mujibu wa taarifa…

Soma Zaidi »

‘Jamii irejeshe dhamana ulinzi wa mtoto kumkinga na ukatili’ 

ULINZI wa mtoto kwa jamii ya zamani ulikuwa shirikishi, yaani wa jamii nzima. Lakini hali hiyo sasa imebadilika jambo linalochochea…

Soma Zaidi »

Balozi Mongella ajivunia ujasiri, kujiamini kazini

MWANASIASA mkongwe nchini, Balozi Getrude Mongella (78) ameweka wazi safari yake ya uongozi akieleza mambo yaliyomfikisha alipo sasa. Mongella anajivunia…

Soma Zaidi »

ABDUL JUMA : Kinda anayetamba na Zahanati ya Kijiji

Ndiye mtunzi wa Saluni ya Mama Kimbo, Kombolela  KAMA umewahi kuzifuatilia tamthiliya za Saluni ya Mama Kimbo na Kombolela, bila…

Soma Zaidi »
Back to top button