Infographics

Jaji Mkuu ataka wafungwa wasaidiwe kukata rufaa

JAJI Mkuu wa Zanzibar, Khamis Ramadhan Abdalla amewataka watendaji wa mahakama kufuatilia mwenendo wa kesi za watu wanaotumikia vifungo mbalimbali…

Soma Zaidi »

Majaliwa ataka ubia imara NHC, sekta binafsi

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameliagiza Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) lichambue kwa umakini aina ya wawekezaji watakaoleta maombi ya…

Soma Zaidi »

UVCCM waonywa uchaguzi wa kunyenyekewa

UMOJA wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UV-CCM) umewataka wanachama wake kutochagua viongozi kwa kuangalia urafiki na undugu, bali wachague…

Soma Zaidi »

Takukuru yapokea utitiri wa malalamiko ya rushwa

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Katavi imesema jumla ya malalamiko 58 ya rushwa yameripotiwa katika…

Soma Zaidi »

Mpango mkakati chakula cha wanafunzi Katavi waja

MKUU  wa Wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi Onesmo Buswelu amemuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Tanganyika kuhakikisha anaanda mpango mkakati…

Soma Zaidi »

TASAF sasa hadi 2025

RAIS  Samia Suluhu Hassan ameongeza muda kwa  wanufaika wa mradi wa kunusuru kaya maskini (TASAF) hadi mwaka 2025. Hayo yamesemwa…

Soma Zaidi »

Wadau wa misitu wafundwa

NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja amewaasa wadau wa misitu kote nchini washiriki kikamilifu katika usimamizi na utunzaji…

Soma Zaidi »

TCRA yafungua milango kwa vijana

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewafungulia milango vijana wabunifu katika Teknolojia, Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kwa kuwapa uwezeshaji uliokuwa unakwamisha…

Soma Zaidi »

Tamasha la sanaa, utamaduni neema vipato Bagamoyo

WAENDESHA bodaboda, wenye migahawa, hoteli na nyumba za kulala wageni wamesema Tamasha la 41 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni…

Soma Zaidi »

TanTrade yatunukiwa cheti cha CCAA

MAMLAKA ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) imepokea cheti cha Chaguo la Mteja Afrika (CCAA). Hafla hiyo ya utoaji tuzo…

Soma Zaidi »
Back to top button