Infographics

Mafunzo yawe chachu ya ukombozi – Mavunde

NAIBU Waziri wa Kilimo, Anthony Mavunde amewataka watu wenye ulemavu kutumia maarifa watakayopewa kwenye mafunzo ya kilimo ili kujikimu kiuchumi…

Soma Zaidi »

Marufuku mikataba kusainiwa bila ofisi ya AG – Rais Samia

RAIS, Samia Suluhu Hassan amepiga marufuku Taasisi za serikali kuingia mikataba bila kushirikisha Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Rais…

Soma Zaidi »

Bashungwa ataka changamoto ajira mpya za walimu zianikwe

WAZIRI  wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Innocent Bashungwa amemwagiza Naibu Katibu Mkuu…

Soma Zaidi »

Hujuma yakosesha umeme wilaya tatu Kigoma

WATU wasiojulikana wamehujumu miundombinu ya Gridi ya Taifa ya Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (TANESCO) kutoka kituo cha Nyakanazi…

Soma Zaidi »

Wizara ya Madini kuimarisha Utendaji GST

WIZARA ya Madini imejipanga kuimarisha utendaji kazi wa Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) ili kuiwezesha kufanya…

Soma Zaidi »

Hospitali Kanda ya Mtwara yaanza matibu ya kibingwa

HUDUMA  za Kibingwa za Taasisi ya tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) zimeanza kutolewa katika hospitali mpya na ya kisasa ya…

Soma Zaidi »

|Rais Samia atoa shilingi bilioni 160

RAIS Samia Suluhu Hassan ameridhia kutoa kiasi cha Shilingi Bilioni 160 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa 8,000…

Soma Zaidi »

Aweso aagiza vifaa vya Maji Mtwara kuletwa mara moja

WAZIRI  wa Maji Mheshimiwa Jumaa Aweso ameagiza vifa muhimu vya kupima ubora wa Maji kwenye maabara ya Maji Kanda ya…

Soma Zaidi »

Mikoa 11 hatarini tisho la Ebola

WIZARA ya Afya imetoa tahadhari ya  tishio la ugonjwa wa Ebola huku ikitaja mikoa 11 ambayo iko hatarini  kukumbwa na…

Soma Zaidi »

Bashungwa asimamisha watano Mbulu

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Innocent Bashungwa amewasimamisha kazi Maafisa watano…

Soma Zaidi »
Back to top button