Infographics

Wakongwe chali, wapya wapeta uchaguzi CCM

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeweka hadharani majina 550 ya wanachama wake waliopitishwa kugombea nafasi za uenyekiti ngazi ya wilaya huku…

Soma Zaidi »

Bodaboda Mara waandamana

WASAFIRISHAJI wa abiria kwa kutumia Pikipiki maarufu  ‘Bodaboda’, wamefanya maandamano mjini Musoma, mkoani Mara kupongeza na kuunga mkono jitihada za…

Soma Zaidi »

TSN, Lindi kushirikiana

MKUU wa Wilaya ya Lindi Shaibu Issa Ndemanga amekutana na kufanya mazungumzo na Kaimu Meneja Huduma za Habari za Lugha…

Soma Zaidi »

TMDA yakamata sigara bandia

MAMLAKA ya Dawa na Vifaa tiba Tanzania (TMDA) kanda ya ziwa magharibi, imekamata sigara bandia aina ya SuperMatch yenye thamani…

Soma Zaidi »

Waziri Ummy afafanua bima ya afya kwa wote

WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amesema kuelekea mpango wa bima ya afya kwa wote, hakuna mwananchi atakayelazimishwa kupata bima kwa…

Soma Zaidi »

Shilingi bilioni 752 kutekeleza miradi ya elimu

SERIKALI imetenga shilingi bilioni 752 kwa ajili ya kutekeleza shughuli mbalimbali kupitia Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya…

Soma Zaidi »

Rais Samia apigia chapuo Kiswahili

NCHI za Afrika hususani Msumbiji zimetakiwa kutumia lugha ya Kiswahili kwa kuwa ndio lugha pekee ambayo inaweza kuwaunganisha Waafrika. Hayo…

Soma Zaidi »

CCM kuimarisha ushirikiano na FRELIMO

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeahidi kushirikiana na chama cha Ukombozi wa Msumbiji, FRELIMO pamoja va vingine vyenye mrengo kama huo.…

Soma Zaidi »

Dk Mpango ahimiza uwekezaji zaidi elimu

MAKAMU wa Rais, Dk Philip Mpango amesema mataifa yanapaswa kuongeza uwekezaji katika sekta ya elimu ili kuhakikisha watoto wanapata elimu…

Soma Zaidi »

Dk.Shein aongoza Kikao Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar,

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akiongoza Kikao cha Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya…

Soma Zaidi »
Back to top button