Infographics

Man United yakutana na kipigo cha tano

MANCHESTER United imepoteza mchezo wa tano wa Ligi Kuu England, baada ya leo kukubali kipigo cha mabao 3-0 kutoka kwa…

Soma Zaidi »

Serikali kuiwezesha TaSUBa

PWANI: SERIKALI imeendelea kuiboresha Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) kwa kutoa fedha za kuboresha miundombinu na vifaa vya…

Soma Zaidi »

Wafanyabiashara Tanga waomba kuboreshewa soko

WAFANYABIASHARA wa Soko Kuu la Mgandini jijini Tanga wameiomba Halimashauri ya Jiji la Tanga kuwaboreshea miundombinu ya soko ili kufanya…

Soma Zaidi »

Umuhimu soko la kaboni kukabili mabadiliko tabianchi

KWA sasa dunia inakabiliwa na ongezeko joto la wastani ambapo katika mwaka wa 2019 lilikuwa nyuzijoto 1.1. Kwa mujibu wa…

Soma Zaidi »

USAID wafanya kweli Mradi wa Heshimu Bahari

KATIKA kuhakikisha uchumi wa bluu nchini unazidi kukua, Shirika la misadaa la Marekani ‘USAID’, limetangaza kuiongeza fedha Tanzania  katika mradi…

Soma Zaidi »

Mapumziko: Simba 0-1 Al-Ahly

DAKIKA 45 za kipindi cha kwanza mchezo wa African Football League umemalizika uwanja wa Mkapa, mpaka sasa Simba iko nyuma kwa…

Soma Zaidi »

Majaliwa akaribisha wawekezaji wa Italia

ITALIA; WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewakaribisha wawekezaji na wafanyabiashara wa nchini Italia kuja Tanzania kuwekeza katika ujenzi wa viwanda vya…

Soma Zaidi »

Simba haitaki unyonge

DAR ES SALAAM: NAHODHA wa Simba ya Dar es Salaam, John Bocco amesema kikosi chao kimejiandaa vizuri kukabiliana na Al…

Soma Zaidi »

Adaiwa kuiba mtoto wa mama mwenye matatizo afya ya akili

MOROGORO; JESHI la Polisi mkoa wa Morogoro linamshikilia Glory Barnabas (23) mkulima na mkazi wa Kata ya Tungi, Manispaa ya…

Soma Zaidi »

Mil.20 wamenufaika huduma madaktari kutoka China

KIGOMA: Watanzania milioni 20 wamenufaika na huduma za matibabu ya kibingwa kutoka kwa madaktari Bingwa kutoka China ambao wamekuwa wakiendesha…

Soma Zaidi »
Back to top button