Infographics

Uwekezaji wa korosho kuendelea kutoa ajira

UWEKEZAJI wa ubanguaji wa korosho nchini unaendelea kufanyika ili kuhakikisha uwepo wa ajira kwa vijana na wanawake. Mkurugenzi Mkuu wa…

Soma Zaidi »

Tanzania mwenyeji mkutano wa chakula

MKUTANO wa Kimataifa wa chakula utaanza kesho Agosti 10 ambapo kampuni zaidi ya 500 zinatarajiwa kushiriki. Mkutano huo umepangwa kufanyika…

Soma Zaidi »

Maofisa 7 wa Polisi kizimbani kwa mauaji

MAOFISA saba wa Jeshi la Polisi leo Agosti 9, 2023 wamesomewa maelezo ya awali, katika  kesi ya mauaji ya mfanyabiashara…

Soma Zaidi »

Tamasha la muziki kuzinduliwa Agosti 12

TAMASHA la Sanaa ya  muziki jukwaani limepangwa kuzinduliwa rasmi Agosti 12, 2023 katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa  jijini Dar…

Soma Zaidi »

Wanahisa Benki ya maendeleo kicheko

BENKI ya Maendeleo imetangaza ongezeko la gawio kwa wanahisa ambalo ni sh milioni 708 kwa mwaka  2022 ikiwa ni ongezeko…

Soma Zaidi »

Tanzania mwenyeji G25 wazalishaji Kahawa

TANZANIA  imepitishwa kuwa Mwenyeji wa mkutano mkubwa wa Nchi 25 wazalishaji wa zao la Kahawa Afrika(G-25). Hayo yamesemwa katika Mkutano…

Soma Zaidi »

Miji 28 Singida kunufaika huduma ya maji

UTEKELEZAJI wa mradi wa kimkakati wa maji wa miji 28 kwa Manispaa ya Singida unakwenda kuongeza huduma ya upatikanaji wa…

Soma Zaidi »

Daktari wa Marburg kupewa pole ya sh milioni 10

SERIKALI  imetangaza kumfuta jasho kwa kumpatia kitita  cha sh milioni 10 daktari aliyepata changamoto ya kiafya wakati akiwa kwenye mapambano…

Soma Zaidi »

Next-Gen Smartwatches: Style Meets Tech

In the Age of Information, news media faces both unprecedented opportunities and significant challenges.

Soma Zaidi »

‘Tembeleeni banda letu mjue kanuni zao la kahawa’

WAKULIMA wa kahawa mkoni Kagera wameshauriwa kutembelea Banda la Utafiti wa zao la Kahawa (TACRI) katika maonesho ya Nanenane mkoani…

Soma Zaidi »
Back to top button