Infographics

Wafariki wakichimba mchanga

WATOTO wawili wa familia moja wamekutwa wamefariki baada ya kufukiwa na mawe wakati wakichimba mchanga katika eneo la Maharahara kijiji cha…

Soma Zaidi »

Wanafunzi 1,907 waliopata mimba warejea shuleni

WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imesema hadi kufikia Januari, 2023 wanafunzi waliopata ujauzito na kurejea  shuleni kuendelea na masomo…

Soma Zaidi »

Taasisi za serikali zapewa siku 90 kulipa madeni

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa siku 90 kwa mamlaka za serikali kulipa malimbikizo ya malipo ya huduma wanazopata kutoka kwa…

Soma Zaidi »

Wagonjwa wa kuchuja damu waongezeka Mloganzila

IDADI ya wagonjwa wanaofanyiwa huduma za kuchuja damu katika hospitali ya Muhimbili Mloganzila imeongezeka kutoka wagonjwa 91 kwa kipindi cha…

Soma Zaidi »

The Final Frontier: Delving into the Mysteries of Outer Space

In the Age of Information, news media faces both unprecedented opportunities and significant challenges.

Soma Zaidi »

Madereva 1,522 wakiuka sheria za barabarani

JESHI la Polisi mkoani Morogoro limefanikiwa kukamata madereva 1,522 wa magari, bajaji  na pikipiki kwa kukiuka sheria za usalama barabarani.…

Soma Zaidi »

Mtoto wa Afrika katikati ya hatari tatizo la afya ya akili

MWAKA 1991, Wakuu wa Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU) wakati huo, walianzisha Siku ya Mtoto wa Afrika kama…

Soma Zaidi »

Bilionea Microsoft atembelea hifadhi Tanzania

MMOJA wa wanahisa wa kampuni mashuhuri duniani ya Microsoft na akihudumu kwa miaka 14 kama Mtendaji Mkuu wa Masuala ya…

Soma Zaidi »

Mabilioni pesa kuboresha usafiri jiji la Dar es Salaam

SERIKALI  imetangaza mkakati wake wa kuboresha usafiri katika jiji la Dar es Salaam, kwa kuendeleza mradi wa  usafiri wa mabasi…

Soma Zaidi »

Msigwa: Bandari haijauzwa, achaneni na wazushi

MSEMAJI Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema Bandari ya Dar es Salaam haijauzwa na wanaoeneza habari hizo ni wazushi na…

Soma Zaidi »
Back to top button