Wanawake

Wanawake wajasiriamali kuwezeshwa kisasa zaidi

DAR ES SALAAM; WANAWAKE 18300 wajasiriamali wa bidhaa mbalimbali nchini wanatarajiwa kuwezeshwa kukua kibiashara na kuyafikia masoko makubwa kwa kupatiwa…

Soma Zaidi »

Tumieni taarifa za sensa kuharakisha maendeleo – Majaliwa

MWANZA: WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wadau wanaotekeleza afua mbalimbali za wanawake watumie taarifa na takwimu za sensa…

Soma Zaidi »

Kitenge kina raha yake mwilini

DAR ES SALAAM;  ULIMWENGU wa mitindo ya mavazi ya Afrika, huwezi kukosa mavazi yaliyoshonwa kwa kutumia kitenge. Kitenge kimekuwa ni…

Soma Zaidi »

Dera linamnogesha mwanamke

DAR ES SALAAM; Dera ni vazi la heshima kwa wanawake linalofanya mwili kuwa huru. Vazi hili huvaliwa sehemu yoyote, humfanya…

Soma Zaidi »

Watunukiwa cherehani, mashine atamizi kujiajiri

DAR ES SALAAM: UBALOZI wa China nchini, umetoa cherehani 425 na mashine atamizi ya kutotolea vifaranga 250 vyenye thamani ya…

Soma Zaidi »

Tanzania yang’ara uwezeshwaji wanawake

DODOMA; TANZANA imepiga hatua katika uwezeshwaji wanawake ngazi za maamuzi, ambapo wanawake wengi wamepewa nafasi kuongoza sekta mbalimbali. Akizungumzia kuhusu…

Soma Zaidi »

Wanawake 116 kupatiwa mafunzo ya uongozi

DAR ES SALAAM; JUMLA ya wanawake 116 watapatiwa mafunzo yanayolenga kuwawezesha kuingia katika nafasi mbalimbali za uongozi. Mafunzo hayo yameandaliwa…

Soma Zaidi »

‘Rais Samia ameipaisha sekta ya uwekezaji’

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji Prof. Kitila Mkumbo, amesema Rais Samia Suluhu Hassan…

Soma Zaidi »

Aibuka kinara malkia wa nguvu sekta binafsi

DAR ES SALAAM; Rosemaru Kacungira ambaye ni mmiliki wa Kampuni ya Equity Aviation na chuo cha marubani cha Soma Aviation,…

Soma Zaidi »

Dk Lucy achomoza mshindi utumishi wa umma

DAR ES SALAAM; Dk Lucy Shule ambaye ni Mkurugenzi wa Mafunzo katika Chuo cha Ulinzi cha Taifa (NDC), ameibuka kinara…

Soma Zaidi »
Back to top button