Wanawake

‘Tumieni majukwaa wezeshi kujiinua kiuchumi’

WANAWAKE na vijana wametakiwa kutumia majukwaa wezeshi ya wajasiriamali, ili kujikwamua kiuchumi kwa kutumia fursa zilizopo na kuepuka mikopo ya…

Soma Zaidi »

GISELA KIMARIO : Kamanda Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori

Anayeonesha njia katika ulimwengu unaomilikiwa na wanaume GISELA Kimario ni miongoni mwa makamishna wasaidizi waandamizi watano pamoja na makamishna wasaidizi…

Soma Zaidi »

Jokate Rais wa Kanda ya Afrika

MKUU wa Wilaya ya Korogwe, Jokate Mwegelo ameteuliwa kuwa Rais wa Kanda ya Afrika Mashariki wa Jukwaa la Viongozi Wanawake…

Soma Zaidi »

Tamwa yatoa kongole kwa Rais Samia haki za watoto

CHAMA cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA) kimewapongeza Rais Samia Suluhu Hassan na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na…

Soma Zaidi »

Vitendo vya ukatili Geita vyapungua kwa 63%

VITENDO vya ukatili mkoani Geita kwa watoto, kina mama na wanaume vimeripotiwa kupungua kwa asilimia 63 kwa mujibu wa rekodi…

Soma Zaidi »

Buriani Tina Turner

ULIMWENGU mzima wa muziki unaomboleza kifo cha gwiji wa muziki, Tina Turner, ambaye alivuma kwa vizazi hadi vizazi. Tukio hili…

Soma Zaidi »

‘Zingatieni usawa wa kijinsi kuleta maendeleo’

Jamii imetakiwa kuzingatia usawa wa kijinsia pamoja na haki za binadamu hususani kwa wanawake kushiriki katika nyanja mbalimbali, ili kuleta…

Soma Zaidi »

Zaidi ya 10,000 wanakufa kwa mwaka changamoto ya uzazi

MENEJA wa Afya Mama, Mtoto na Vjina, (UNFPA) Felister Bwana amesema wanashuhudia vifo vya wanawake 8000 hadi 11,000 kwa mwaka…

Soma Zaidi »

Mabula: Wadau saidieni timu za wanawake

MBUNGE wa jimbo la Ilemela Dk Angeline Mabula amewaomba wadau mbalimbali wa soka mkoani Mwanza kujitokeza kwa wingi katika kuzisaidia…

Soma Zaidi »

Taasisi yadhamiria kuinua wanawake Tanzania

TAASISI ya Mke wa Rais wa Zamani wa Afrika Kusini, Graca Machel inakusudia kuwainua wanawake kiuchumi nchini Tanzania baada ya…

Soma Zaidi »
Back to top button