Wanawake

Aliyekuwa mke wa Dk mwaka awatia moyo wanawake

ALIYEKUWA mke wa Dk Mwaka, Queen Oscar amewataka wanawake kutoogopa kuanza maisha upya pindi wanapokutana na changamoto ya manyanyaso au…

Soma Zaidi »

Gwajima ataka wanawake kupambana ukatili wa kijinsia

WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk Dorothy Gwajima ametoa wito kwa viongozi hususani wanawake kubeba…

Soma Zaidi »

Miss Tanga kufanyika Mei 6

SHINDANO la kumsaka Miss Tanga 2023 linatarajia kufanyika Mei 6, mwaka huu mkoani Tanga. Akizungumza leo Machi 16, 2023 Dar…

Soma Zaidi »

RC: Wanawake tumieni ‘kicheni pati’ kukuza uchumi

MKUU wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka amewataka wanawake watumie ‘kicheni pati’ kupeana elimu ya kukuza na kulinda uchumi wa…

Soma Zaidi »

Kihenzile: changamkieni fursa

WANAWAKE wa Tanzania Red Cross Society (TRCS) wametakiwa kufanya kazi kwa bidii ili kuinua vipato vyao ikiwa ni pamoja na…

Soma Zaidi »

Benki yazindua akaunti maalum kuwainua wanawake wajasiriamali

KATIKA jitihada za kumkomboa mwanamke kiuchumi, Benki za Akiba (ACB) imezindua akaunti maalum kwa ajili ya wanawake wajasiriamali. Akizungumza katika…

Soma Zaidi »

TUMERAHISISHA: Huduma ya mikopo kwa wanawake kidijitali yazinduliwa

Benki ya Equity imeadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake kwa kuzindua kampeni iliyojikita  kutoa suluhu kidigitali katika huduma zake kwa…

Soma Zaidi »

TPSF yasisitiza matumizi ya teknolojia, ubunifu kumkomboa mwanamke

WAKATI dunia ikiadhimisha Siku ya Wanawake, Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) imesisitiza kuwa teknolojia kuwa ni nyezo muhimu katika…

Soma Zaidi »

Wasichana 6,685 warudi kuendelea na masomo

WASICHANA 6,685 wenye umri kati ya miaka 13 na 21 waliokatisha masomo ya sekondari kwa sababu mbalimbali ukiwemo ujauzito wamejisajili…

Soma Zaidi »

Wanaume wasusia kuzika wawaachia wanawake

KWA utamaduni wa maeneo mbalimbali nchini Tanzania, unapotokea msiba wanaume ndiyo huongoza mazishi kuanzia uchimbaji kaburi, hata ibada mbalimbali pale…

Soma Zaidi »
Back to top button