Africa

Odinga asema hatishwi, maandamano yapo palepale

KIONGOZI wa Muungano wa Azimio la Umoja Kenya, Raila Odinga amesema hatishiki na vitisho kutoka kwa rais wa nchi hiyo…

Soma Zaidi »

Tani 2 madini ya uranium asilia zapotea Libya

JUHUDI zinaendelea kutafuta zaidi ya tani 2 za madini ya uranium asilia yaliyoripotiwa kupotea kwenye hazina ya madini hayo huko…

Soma Zaidi »

Rais Malawi aomba msaada

RAIS wa Malawi, Lazarus Chakwera ameomba msaada kwa mashirika ya misaada ya kimataifa kufuatiwa uharibifu wa makazi ya watu uliotokana…

Soma Zaidi »

Mtoto wa Museven autaka urais

MTOTO wa Rais wa Uganda, Muhoozi Kainerugaba amesema amechoka kusubiri kuwa rais Uganda na ni muda sasa wa kuanza harakati…

Soma Zaidi »

Milioni 48 Afrika wakabiliwa na uhaba wa chakula

WATU milioni 48 barani Afrika wanakabiliwa na uhaba wa chakula hali iliyosababishwa na hali ya hewa, ukosefu wa usalama na…

Soma Zaidi »

Mchezaji Ivory Coast afariki uwanjani

MCHEZAJI chipukizi wa Ivory Coast, Sylla Moustapha amefariki baada ya kuanguka uwanjani wakati wa mechi ya Ligi Kuu nchini humo…

Soma Zaidi »

Jaji Mahakama ya Rufaa Uganda afariki

JAJI wa Mahakama ya Rufaa ya Uganda , Kenneth Kakuru amefariki katika hospitali ya Aga Khan, jijini Nairobi leo Machi…

Soma Zaidi »

Watoto 75 wakutwa na saratani

WATOTO 75 wamegundulika kuugua magonjwa ya saratani za aina mbalimbali katika kituo cha kudhibiti saratani cha Hospitali ya Centre Medico-Chirurgical…

Soma Zaidi »

660 wafariki kipindupindu-WHO

#KIMATAIFA: Shirika la Afya Duniani (WHO) limeeleza kuwa vifo 660 na wagonjwa 26,000 wameripotiwa hadi kufikia Januari 29, 2023 katika…

Soma Zaidi »

Ujumbe mfuko wa uwekezaji China, Afrika kutua nchini

Ujumbe wa Mfuko wa Uwekezaji wa China na Afrika (CADFUND) unatarajiwa kufanya ziara nchini Tanzania mnamo Aprili, 2023. Ahadi hiyo…

Soma Zaidi »
Back to top button