Africa

Watoto wauawa kwa risasi Kenya

WATOTO wawili wameuawa kwa kupigwa risasi na watu wengine wawili kujeruhiwa katika harakati ya kulipiza kisasi mjini Isiolo. Watoto hao…

Soma Zaidi »

Majambazi waua mlinzi, wapora kanisani

MLINZI wa usiku ameuawa kwa kukatwakatwa katika tukio la ujambazi lililofanyika katika Kanisa la Redeemed Gospel lililopo Nguluni Tala katika…

Soma Zaidi »

Wabunge EALA watakiwa kuendeleza mtangamano EAC

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk Stergomena Tax, amewasihi wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki…

Soma Zaidi »

Mafuriko yaua 120 DR Congo

HABARI: Watu 120 wamefariki dunia kwa mafuriko katika Mji Mkuu wa Kinshasa nchini DR Congo. Taarifa nchini humo zinaeleza. Taarifa…

Soma Zaidi »

Kongamano EAC-2022 kukutanisha wafanyabiashara vijana 2000

KONGAMANO la Viongozi wa Biashara la Vijana wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC 2022) linaloanza leo linawakutanisha wafanyabiashara vijana 2000…

Soma Zaidi »

Maonesho Juakali EAC yakonga mawaziri Tanzania, Uganda

WAZIRI Mkuu wa Uganda, Robinah Nabbanja na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto wa Serikali ya Mapinduzi…

Soma Zaidi »

Mfumo kukabili majanga EAC waonesha mafanikio

NCHI za Afrika Mashariki zimeanzisha mfumo maalumu wa kukabiliana na majanga unaojulikana kama East Africa Hazards Watch (EAHW) unaolenga kutoa…

Soma Zaidi »

Ramaphosa agoma kujiuzulu

Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa amesema hatojiuzulu licha ya mashinikizo mbalimbali yanayomhusisha na kashfa ya ufisadi ambayo hata hivyo…

Soma Zaidi »

Ruto azindua mfuko wa Ma-Hustler

Rais wa Kenya, Dk William Ruto amezindua rasmi Mfuko wa ma-Hustler, mpango uliokuwa moja ya nguzo kuu za kampeni yake.…

Soma Zaidi »

IGP Nigeria ahukumiwa jela miezi mitatu

Mahakama nchini Nigeria imemhukumu Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) Usman Alkali Baba kifungo cha miezi mitatu jela kwa kutotii…

Soma Zaidi »
Back to top button