Amerika

TikTok yapata mnunuzi, majina yahifadhiwa

WASHINGTON DC : RAIS wa Marekani, Donald Trump, amesema kuna kundi la wawekezaji wenye uwezo mkubwa kifedha walioko tayari kununua…

Soma Zaidi »

Harvard yabanwa na Marekani, China yakerwa

SERIKALI ya China imeikosoa vikali hatua ya Marekani ya kukifutia Chuo Kikuu cha Harvard haki ya kuandikisha wanafunzi wa kigeni.

Soma Zaidi »

Vance mgombea mwenza wa Trump

MAREKANI: Rais wa zamani wa Marekani ambaye ni mgombea urais wa Chama cha Republican, Donald Trump amemtangaza Seneta wa Ohio…

Soma Zaidi »

Yusuf Manji kuzikwa leo Florida

MAREKANI – ALIYEKUWA mwenyekiti na mfadhili wa klabu ya Yanga, Yusuf Manji atazikwa leo Florida nchini Marekani, familia yake imesema.…

Soma Zaidi »

Usher akumbuka alivyotelekezwa na Baba

MAREKANI – Mwimbaji wa R&B-pop wa Marekani Usher Raymond IV – Usher ametoa hotuba ya kusisimua wakati akipokea tuzo ya…

Soma Zaidi »

Diana Ross miaka 80 rekodi yake inatisha

Mwimbaji na Muigizaji mkongwe nchini Marekani Diana Ross, leo  anasheherekea  siku yake ya  kuzaliwa.  Alizaliwa Machi 26 , 1944 huko…

Soma Zaidi »

Dk Tulia awasili Marekani ziara ya kikazi

NEW YORK: Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk…

Soma Zaidi »

Moto waua 40 Chile

CHILE: SERIKALI ya Chile imetangaza hali ya hatari huku ikiendelea kupambana na moto mkali wa uliozuka katika moja ya msitu…

Soma Zaidi »

Museveni: Tunaweza kuendelea bila kuungwa mkono

KAMPALA; RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni hana wasiwasi wowote baada ya taifa lake kuondolewa katika mpango maalumu wa kibiashara wa…

Soma Zaidi »

Mwanaume aliyefariki miaka 128 iliyopita hatimaye kuzikwa

READING, Marekani: Mwanaume mmoja aliyefariki miaka 128 iliyopita na mwili wake kusalia katika jumba la huduma ya mazishi huko Reading,…

Soma Zaidi »
Back to top button