Asia

Apigwa risasi akidhaniwa sungura

MTU mmoja nchini China amefariki baada ya kupigwa risasi na mwindaji akidhaniwa kuwa sungura. Watu wanne wamekamatwa kutokana na kifo…

Soma Zaidi »

Dalai Lama aomba msamaha madai ya kunyonywa ulimi

KIONGOZI wa Kiroho wa Tibet, Dalai Lama ameamua kuomba radhi baada ya picha jongefu kuenea mtandaoni ikionesha akimuuliza mvulana kama…

Soma Zaidi »

Nguruwe amuua mchinjaji

MFANYAKAZI wa eneo la machinjio jijini Hong Kong nchini China, amefariki alipokuwa akijaribu kuchinja nguruwe. Mchinjaji huyo mwenye umri wa…

Soma Zaidi »

Mafuriko yaua 13 Ufilipino

VIFO vya watu vilivyotokana na mafuriko vimefikia 13 huku zaidi ya 45,000 wakiokolewa na kuhifadhiwa kwenye vituo maalumu, wengi waliopotea…

Soma Zaidi »

Urusi yadai Vatican imeiomba radhi kufuatia kauli ya Papa

VATICAN imeomba msamaha kwa Urusi baada ya Papa kudai makabila mawili yanayopigana katika operesheni ya kijeshi ya Urusi nchini Ukraine…

Soma Zaidi »

Messi aweka rekodi nyingine Qatar

Lionel Messi amempiku nyota wa soka wa Argentina, Gabriel Batistuta kama mfungaji bora wa taifa hilo katika Kombe la Dunia…

Soma Zaidi »

Mzambia auawa akipigana na vikosi vya urusi

MWANAFUNZI raia wa Zambia ambaye alikuwa akitumikia kifungo nchini Urusi na kufariki akipigana na wanajeshi wa Urusi nchini Ukraine alikuwa…

Soma Zaidi »

Rais wa zamani China afariki

#BREAKING #NEWS: Rais wa zamani wa Jamhuri ya Watu wa China, Jiang Zemin, ambaye aliongoza nchi kupitia mabadiliko kisiasa mwishoni…

Soma Zaidi »

UBIA TANZANIA-CHINA: Peleka Mbele Urafiki, Ongoza Kukuza Mafanikio Mapya

Katika mwaliko wa Rais Xi Jinping wa Jamhuri ya Watu wa China, Rais Samia Suluhu Hassan wa Jamhuri ya Muungano…

Soma Zaidi »

Washington, Beijing za ahidi kushirikiana kuboresha uhusiano

RAIS wa Marekani, Joe Biden na Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Xi Jinping wameahidiana kushirikiana kutatua changamoto zinazokumba…

Soma Zaidi »
Back to top button