Kimataifa

Watoto 75 wakutwa na saratani

WATOTO 75 wamegundulika kuugua magonjwa ya saratani za aina mbalimbali katika kituo cha kudhibiti saratani cha Hospitali ya Centre Medico-Chirurgical…

Soma Zaidi »

660 wafariki kipindupindu-WHO

#KIMATAIFA: Shirika la Afya Duniani (WHO) limeeleza kuwa vifo 660 na wagonjwa 26,000 wameripotiwa hadi kufikia Januari 29, 2023 katika…

Soma Zaidi »

Potter atishiwa maisha

Kocha wa Chelsea, Graham Potter amefichua kuwa alipokea vitisho vya kuuawa, lakini amesisitiza haikumuathiri kisaikolojia kwani analenga kubadilisha mwenendo wa…

Soma Zaidi »

Biden: Urusi haiwezi kushinda vita Ukraine

Rais wa Marekani, Joe Biden amesema Urusi haiwezi kushinda vita dhidi ya Ukraine. Biden amezungumza hayo leo akiwa Mjini Warsaw…

Soma Zaidi »

Urusi yasitisha mkataba wa nyuklia na Marekani

RAIS wa Urusi, Vladimir Putin amesema taifa hilo linasitisha ushiriki katika mkataba wake mkuu wa mwisho wa udhibiti wa silaha…

Soma Zaidi »

Liverpool haiuzwi

Imeelezwa kuwa klabu ya Liverpool ya nchini England haiuzwi tena isipokuwa kuongeza uwekezaji. Henry Fenway Sports Group (FSG) ambao waliinunua…

Soma Zaidi »

Tetemeko lingine laua Uturuki

Watu watatu wamefariki na wengine kujeruhiwa kufuatia tetemeko jipya la ardhi lililotokea Uturuki na Syria usiku wa leo. Tetemeko hilo…

Soma Zaidi »

Matumaini yafifia kupata walio hai kwenye vifusi

MATUMAINI ya kupata watu walio hai katika vifusi vilivyotokana na tetemeko lililotokea chini Uturuki na Syria yamefifia huku idadi ya…

Soma Zaidi »

Ujumbe mfuko wa uwekezaji China, Afrika kutua nchini

Ujumbe wa Mfuko wa Uwekezaji wa China na Afrika (CADFUND) unatarajiwa kufanya ziara nchini Tanzania mnamo Aprili, 2023. Ahadi hiyo…

Soma Zaidi »

Ukraine kujiunga EU

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenksy amesema nchi hiyo inakwenda kuwa mwanachama wa Umoja wa Ulaya (EU). “Ukraine itakuwa mwanachama wa…

Soma Zaidi »
Back to top button