Kimataifa

Tehama kutumika kufuatilia mamalia adimu

MAMLAKA ya wanyamapori nchini imezindua programu tumizi ya bure inayoruhusu watumiaji wa simu za mkononi kufuatilia kuonekana kwa mamalia adimu…

Soma Zaidi »

Gachagua: Serikali itaboresha mitaala

NAIBU Rais Rigathi Gachagua amesema serikali mpya haitafutilia Mtaala wa Umahiri (CBC), bali itaupitia ili kuuboresha. Akizungumza katika Tamasha la…

Soma Zaidi »

Familia zahaha kutoweka kwa ndugu

NDUGU wa familia tatu za watu waliotoweka katika mazingira tatanishi, wanaomba juhudi zifanyike kuokoa maisha ya jamaa zao na kuwarejesha…

Soma Zaidi »

Ruto kuhutubia wabunge, maseneta

RAIS William Ruto anatarajiwa kuhutubia wabunge wa Bunge la Kitaifa na Bunge la Seneti katika kikao cha pamoja Alhamisi hii.…

Soma Zaidi »

Watoto milioni mbili kuchanjwa kuepuka Covid-19

SERIKALI imeanza kutoa chanjo dhidi ya Covid-19 kwa watoto wenye umri wa kati ya miaka mitano na 11 na inatarajiwa…

Soma Zaidi »

Spika: Vijana pigeni vita matamshi ya chuki

SPIKA wa Bunge, Donatille Mukabalisa amewataka vijana kupiga vita kauli za chuki na uchochezi ili kujenga amani na umoja endelevu.…

Soma Zaidi »

Mauzo ya nje Rwanda yapanda

THAMANI ya mauzo ya nje ya Rwanda imeongezeka kwa asilimia 37.2 katika miezi sita ya kwanza ya mwaka 2022, ikisukumwa…

Soma Zaidi »

Serikali yatangaza hatua kudhibiti ebola

WIZARA ya Afya imetangaza hatua mpya za kuzuia kuingia na kusambaa kwa virusi vya ebola. Kumekuwa na taarifa za kuwapo…

Soma Zaidi »

Wabunge EALA pelekeni mnachotumwa

WIKI iliyopita, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, liliwachagua wagombea tisa kuwakilisha Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki (EALA).…

Soma Zaidi »

Wafungwa 13 watoroka gereza kuu

MAMLAKA katika Jimbo la Warrap nchini hapa zimesema wafungwa wasiopungua 13 wametoroka usiku katika Gereza Kuu la Kuajok na msako…

Soma Zaidi »
Back to top button